Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😂😂Wajomba zangu leo wamepania
Sikutegemea kocha atakuja na kikosi hiki cha hovyo.I can’t imagine tuna nini ?? KIKOSI Chetu ni kauka ni kuvae Kama Simba . Tuna a lot of players wapo nje . Kocha kama Ana mental retardation . TFF organization should be dismantled . Wamekaa wajinga tu . Mgunda nae akili hana , yani wtf
Bado dakika chache mpira uanzeTangazeni mpira punguzeni stori
...Muda wa kuangalia ze comedy
Kosi wasiwasi
Pira papatu
Itapendeza sana tuki qualifyLeo ndio Stars ana qualify kwenda Uwanja wa Ndege.
Wamesema Stars wakishinda Simba wameshinda sababu Stars wamepigwa Logo ya Sandaland, km ni hivyo Mimi naishangilia Congo DR sitaki ushabiki maandaziLeo hatutupi karata bali tunachana kabisa.
Wewe si ndiyo ulikuwa unapinga maandamano ya leo?Mpaka muda huu TANESCO hawajarudisha umeme toka walipokata mida ya saa 2 asubuhi. Sijui hatima ya mechi hii nitaangaliaje
Acha wapigwe tuMpaka muda huu TANESCO hawajarudisha umeme toka walipokata mida ya saa 2 asubuhi. Sijui hatima ya mechi hii nitaangaliaje
Mali na SA, Namibia wameingia best looser Tunisia OutKundi la Mali nani amepita na nani?
Tumia app ya live sports ipo playstoreMwenye link anaweza share, huku madongo maji washakata umeme
Sababu wamesema Stars wakishinda Simba wameshinda sababu eti wamevaa Logo ya Sandaland, Mimi nimechagua kukaa upande wa Congo DR sitaki ushabiki wa hivyo kabisaAcha wapigwe tu
Ova
Kwani si ndio wachezaji wake, we ulitaka aje na kina nani mkuu?Sikutegemea kocha atakuja na kikosi hiki cha hovyo.
Kizimkazi tena mboni wanasema sababu wamevaa Logo ya Simba basi wale wanaocheza ni Sawa na wachezaji wa Simba kwa hio Congo DR leo wanacheza na SimbaPiga kizimkazi hao mpaka wachakae