FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

Muda wa kuangalia ze comedy
Kosi wasiwasi
Pira papatu
...
Screenshot_20240124_223959_All%20Goals.jpg
 
Mimi ni myanzania naipenda nchi yangu,ila tangu ccm kuingiza siasa zao uchwara kwenye timu ya taifa basi naiombea taifa stars leo ishinde yani ishinde Njaa,ifungwe bao nyingi na DRC.
 
Leo hatutupi karata bali tunachana kabisa.
Wamesema Stars wakishinda Simba wameshinda sababu Stars wamepigwa Logo ya Sandaland, km ni hivyo Mimi naishangilia Congo DR sitaki ushabiki maandazi
 
Back
Top Bottom