TushapigwaSasa naona stars waachwe kama walivyo, ubora wa wapinzani ndio unaofanya waonekane wabovu, lakini sio wabovu sana kiuhalisia.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mabekiii walikaaakama wanasubiria kombe la mapinduzi toka simbaGoliii hilooooomdasimrrfuuu
Agizaa dompooo nakuja lipaaaNimewapa Morrocco win and over 1.5
Nimeweka million 4
Tutapigwa nyingi hakikaWanasubiria pass za kaunta ataki na ndio hapo naposema itakuwa ni ngumu kwa safu ya mbele kuwa na tachi nyingi kwasababu mipira mingi inaishia kati