Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ULIA ACHA UNAZI!Mudathir, Mao na Tshabalala watolewe haraka iwezenavyo
Sasa mbona namuona Samatta peke yake na wote wanamtafuta mwenyewe na mipira yote inapotea.Wako watatu.
Tunacheza 3-4-3 defensive.
HahahaAll the best Taifa Stars.
Jezi mbovu you can't read the Name of player properly.
Hiyo bendera ya Taifa hapo juu imepauka pia.
Basi. Baki hapa tukupe ripotiHuku nilipo leo kuna shirika katili linaitwa TANESCO limetunyima hii mechi
Ngumu sana mkuuVIP wakuuu game. Tutatatoka ?
Huu mchezo tunaocheza had sasa ni mzr kwa kujilinda tu lkn tukipigwa chuma 1.Tz tunafeli yani full back pass , mid hakuna wachezaji ,
Kila kitu wewe ni siasa? unaaaza kwa kitumia MA.TA.KO?Hana chochote huyo!
Tupate point moja,tumfunge Zambia,tunaenda mtoanoKwa sababu ni timu Bora ndio tunapaki basi kwamba tunatafuta sare au?
Waache uesenge watafute magoli
Tbc wapo live youtubewapenzi wa mpira tuwekeeni link ya kuuona huu mpira via internet.