FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
Mkuu tukibahatisha hata point moja ni furaha kwetu
Kwangu mimi drc na Zambia ndio hatari zaidi
Hapa nimekutana na Mmorocco anasema leo wana tuchapa tu, nimemwabia dakika 90 zikimaliza tutamjua nani mshindi.
 
Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku

Timu hizo zipo kwenye kundi F ambpo timu nyingine ni Zambia na DR Congo.

Upi utabiri wako wa mechi hiyo?
 
Kocha na Kapteni Wana malengo tofauti...Kocha anasema akatafute uzoefu...Huyu jamaa anasema kushinda! Ila Leo tuna hali ngumu ...hizi Timu ndogo zilizowaoiga wakubwa zimetuchongea MORROCO wataingia Kwa tahadhari kubwa sana! Kinyume chake pia na sisi inatupa moyo tunaweza! ...God bless Taifa Stars!
 
Daah yan niseme ukweli kabisa nilivouona tu huu uzi moyo wangu umeshtuka paaah. Yaan ni kama mgonjwa anayesubiri upasuaji aambiwe muda umefika.

Mungu tusaidie kusitokee aina yoyote ya upasuaji.
 
Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku

Timu hizo zipo kwenye kundi F ambpo timu nyingine ni Zambia na DR Congo.

Upi utabiri wako wa mechi hiyo?


Nasimama na Morocco kama ishara ya kulaani matendo maovu ya serikalj ya ccm dhidi ya wanyonge.
 
Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku

Timu hizo zipo kwenye kundi F ambpo timu nyingine ni Zambia na DR Congo.

Upi utabiri wako wa mechi hiyo?
Kivhwa cha mwendawazimu kitanyolewa kwa shoka leo. Hazipungui alba.

Sitapoteza muda wangu kuangalia.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kila la kheri Taifa Stars, komaeni kama underdogs wengine walivyokomaa hadi sasa...
 
Kocha asiende pale kupishana na Marrakech. Tutapigwa kama ngoma. Awape heshima, aifunge game tusubirie makosa yao tupate ushindi.
 
Nawaombea dua ndugu zetu Morocco wapate ushindi mnene dhidi ya CCM stars
 
Tutaweza kutoa sare na kama ni kufungwa na Morocco hazitazidi goli 2
 
Back
Top Bottom