FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
Naishabikia Morocco, siwezi kuishabikia timu ya CCM.
 
Swala sio stars kushinda ukweli ni kwamba sioni spirit kwa wachezaji wa stars wanaoweza kujituma kupambania ushindi kina samata wenyewe wamelizika hatar bora kocha we2 kishajitetea mapema ye hataki ushindi anataka uzoefu [emoji23]
 
Kila la heri Stars 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Piganeni Kiume 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Aisee, hii game wala ata sitaiangalia, mtanijuza tumefungwa ngapi
 
Najiuliza kwa nini 'ill wishers' ni wengi hivi kwenye uzi huu?
 
Kila la kheri Taifa Stars, komaeni kama underdogs wengine walivyokomaa hadi sasa...
Hakika!
Tumeaguhudia timu za kawaida kabisa zikipambana na kuzitoa jasho vigogo!
Kinachotakiwa kwa Taifa stars leo usiku ni;

1. Wajiamini kuwa watashinda.

2. Wapambane kwa bidii na maarifa.

3. Wacheze kwa ushirikiano kama team moja.

4. Waache uoga na wasiwasi, watulie kama vile wanacheza na mlandege.

5. Wasijilinde sana wakaacha kushambulia, washambulie na wajilinde.

Wakifanya hayo naamini kama hawata shinda basi watatoa sare.

Tunawatakia kila la heri
 
Hakika!
Tumeaguhudia timu za kawaida kabisa zikipambana na kuzitoa jasho vigogo!
Kinachotakiwa kwa Taifa stars leo usiku ni;

1. Wajiamini kuwa watashinda.

2. Wapambane kwa bidii na maarifa.

3. Wacheze kwa ushirikiano kama team moja.

4. Waache uoga na wasiwasi, watulie kama vile wanacheza na mlandege.

5. Wasijilinde sana wakaacha kushambulia, washambulie na wajilinde.

Wakifanya hayo naamini kama hawata shinda basi watatoa sare.

Tunawatakia kila la heri
Kama vile wanacheza na Mlandege?!
 
Mmechangia lakini pesa ya uwezeshaji wa ushindi tunaoutaka?
 
Back
Top Bottom