cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara paaap
Tanzania 3......0 Morocco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara paaap
Tanzania 3......0 Morocco
apo kwanza ncheke..yaan bongo kikubwa uzimaTanzania 1 - Morocco 0
Tanzania 2 - DRC 1
Tanzania 0 - Zambia 0
Timu la CCM hili acha lifungwe tu.
Nna uhakika alikuwa anatania
YahNna uhakika alikuwa anatania
Wametudharau sana.Hahhh eti nibetie taifa stars ana odds 11 betpawa...
Ina maana akina Mzamiru hawajui ngeli? Mbona hawajichanganyi na jamaa zaoView attachment 2874348
Mimi Naipenda Taifa Stars ila naogopa kuishabikia.apo kwanza ncheke..yaan bongo kikubwa uzima
Nawasiwasi Tukifungwa hawa tutakataa sio Watanzania 🤣🤣🤣Ina maana akina Mzamiru hawajui ngeli? Mbona hawajichanganyi na jamaa zaoView attachment 2874348
Labda Tume ya Taifa ya uchaguzi ikaibe magoli badala ya kura huko ndio utaona haya matokeoTanzania 1 - Morocco 0
Tanzania 2 - DRC 1
Tanzania 0 - Zambia 0