FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
Kwa mpira huu inoucheza, Taifa Stars itashika nafasi ya mwisho kwenye kundi na itarudi nyumbani.

Naomba nafasi ya kukutana na raisi Samia ili nimpe mipango ya kunyanyua michezo nchini mwetu.

Kisha niteuliwe niwe mbunge wa kuteuliwa kisha nipewe uwaziri wa michezo.

Ntahitaji kuwa na mkataba wa miaka 5 kutekeleza mipango yote ya uboreshaji michezo nchini.

Lakini wale wote wanohusika na michezo nchini itabidi wote waondolewe ni wale waso na makandokando ndo watabakia.

Na hiyo ni sehemu tu na "blue print" nilo nayo kuhusu michezo nchini.

Bila hivyo michezo ni sekta ambayo sasa imeshikwa na wapigaji hivyo hatufiki mbali.

Au mwasemaje wakuu?
 
Hatuna shot on target hata moja
IMG_9443.jpeg
 
Tuna beki mbovu sana sisi, Mwamnyeto ndio boga kabisa.

Kasoro Bacca tu.
Mkuu embu tulia.
Morocco leo wameniheshimisha mama samia mwenyew anaibetia morocco
🤣🤣
Shida hatuupendi ukweli na siasa kila sehemu
 
Morocco piga hao hata 6.

Congo na Zambia wahisha hao jamaa nyumbani waje tuandamane.

Hatuwezi kuandamana wao wako Ivory Coast. Lazima washiriki maandamano.
 
Back
Top Bottom