Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Hapa wanasiasa watajitenga...[emoji23][emoji23]ila tungeshinda Sasa guess what could happen [emoji23]??Madhara ya kuingiza siasa kwenye kila kitu ndo haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa wanasiasa watajitenga...[emoji23][emoji23]ila tungeshinda Sasa guess what could happen [emoji23]??Madhara ya kuingiza siasa kwenye kila kitu ndo haya
Kha! So manula alikuwa yanga siku hiyoZa mchongoo...si unaona wao na manula wao lao lilikua moja...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hao wachezaji wanaocheza rafu watakuwa chadema hao.
Beki mtoboko...yani zinakabia macho ..any way vijana wacha wale mishahara sie midomo tuu huku..mBila hizo beki tungepigwa 7[emoji32]
Ni huzuni Aisee...Hao mabeki au mapazia?
Kabisaaaa...hahahahaaKha! So manula alikuwa yanga siku hiyo
Jamani zambia vs congo GG sii inatoa?Warudi na watu wamechanga pesa.
Ache watokwe jasho kidogo huko.
Na hao ni moroco bao wakongomani wa wazambia, sioni tukitoboa kwao.
Huruma sana kadi za njano zinatembeaBila hizo beki tungepigwa 7[emoji32]
Thubutuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila hizo beki tungepigwa 7[emoji32]
Majizi yamekwapua kodi za wananchi yameenda kuzipoteza yanatudanganya harambee yamekusanya bilion 3.7Viwili vya mkwezi.....team ya CCM inahaha
Wangedai mama sijui kafanya nini siasa mbayaHapa wanasiasa watajitenga...[emoji23][emoji23]ila tungeshinda Sasa guess what could happen [emoji23]??
😀😀😀 ccm starsTupo pamoja Taifa Stars…. Tusikate tamaa. Bado mechi mbili
Mkuu embu tulia.Tuna beki mbovu sana sisi, Mwamnyeto ndio boga kabisa.
Kasoro Bacca tu.
Nimelia sana Beshte....Yanga wametudhalilisha...