FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
Hamna bwana hatuna quality tuu. Kwanza kwa nadharia ya mpira losing a player doesnt effect a team defensively, it impacts a team offensively since they have one less passing option.

Wee areigo sacchi alipanga defense yake ya watu wanne dhidi ya wachezaji 10 na hawakufunga and mind u this was the great milan side of 1989
Liver wenyewe walikula red walipocheza nadhan na tott lakin waliscore na kudefence mpaka game ikaisha kwa draw.

Jamaa wana qualitu players, kinachoudhi ni hata hawatumii nguvu nyingi kutuchapa.
 
Na Badoooo, nyambafu.
Ili soka liendelee bongo, siasa na kujuana juana wekeni pembeni la sivyo mtakuwa VIBONDE STARS dadadekii
Rushwa ni adui wa maendeleo kwenye kile sector, huku kwenye mpira Tz mambo yanaenda kwa kujuana sana. Huku uraiani kuna watu wanapiga mpira kuliko wengi tu wanaocheza kwenye ligi yetu, ila sasa watafikaje huko na hawana connections.

Tutengeneze mfumo mzuri wa kutafuta vipaji fair bila ukiritimba, tutafika mbali miaka ijayo.
 
Hamna bwana hatuna quality tuu. Kwanza kwa nadharia ya mpira losing a player doesnt effect a team defensively, it impacts a team offensively since they have one less passing option.

Wee areigo sacchi alipanga defense yake ya watu wanne dhidi ya wachezaji 10 na hawakufunga and mind u this was the great milan side of 1989
Sawa vipi Manula?
 
Liver wenyewe walikula red walipocheza nadhan na tott lakin waliscore na kudefence mpaka game ikaisha kwa draw.

Jamaa wana qualitu players, kinachoudhi ni hata hawatumii nguvu nyingi kutuchapa.
Sasa aie mpira sii tumehamishia mdomoni kaka. Wewe first 30 minutes pass za mbele ,over overhit
 
Back
Top Bottom