Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kabisa hii timu imelaaniwa sana yaani eti nae kizimkazi aliwapigia simu jionii hii ππ€£ππ kuwapa hamasa etiTeam inaenda na mwijaku, baba levo,.
Sasa hamasa zenyewe mbna hatuzionii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Brazil alifungwa na Morocco,na si Brazil tu,Hispania na wengine wanaojua mpira,huwezi linganisha mchezaji wa namungo na anayecheza man u, tatizo Kuna wakulima na wafugaji wengi mnashabikia mpira siku hizi,hamjui lolote kuhusu mpira,wachagga nao siku hizi wanashabikia mpira badala ya kuuza dukaKiko wapi?
Naunga mkono hojaHalafu utakuta mtu alikuwa anakomaa kubwa hawa CCM staz wangeifunga Morocco labda ingekuwa ni uchaguzi tume ya taifa ya uchaguzi isingeiangusha staz
Congo au Zambia toka lini wakawa saizi yako?.Jamani tuwe wapole hawa Morocco waliitoa Ureno ya Cristiano Ronaldo!
Nadhani yale ni maji marefu kwetu, tukijipanga Congo na Zambia kidogo ndio size yetu.
Imeuma chomoa MaikiUtajijua...kikubwa pazia leo lilitoboka
Kwa hiyo matokeo yapojeMboni vijana wanacheza vizuri tu
Inasikitisha sanaBrazil alifungwa na Morocco,na si Brazil tu,Hispania na wengine wanaojua mpira,huwezi linganisha mchezaji wa namungo na anayecheza man u, tatizo Kuna wakulima na wafugaji wengi mnashabikia mpira siku hizi,hamjui lolote kuhusu mpira,wachagga nao siku hizi wanashabikia mpira badala ya kuuza duka
Matokeo ni matokeo TU ule ni mchezo wa kikatiri usisahau hukumuona refa alivyokua anatoa macho km kapigwa kidole?Kwa hiyo matokeo yapoje
Acha usemgeSamatta anaruka ruka tu
Ujinga huu utafurahia nini?Nimefurahi sana tena naona 3 ni chache wangepigwa hata wiki ingependeza.
Utajijua...kikubwa pazia leo lilitoboka
Chomoa MaikiWanaomlaum Manila ni wajinga wanatoa mawazo kipuuzi Sana, lakini pia wanaowalaum mabeki ni wapuuz na wajinga Sana!. Kwahiyo mlitegea matokeo tofauti na haya?. Bata nyie
Kumekucha udugu kumekucha ππππππJamani nje ya mada, huyu jamaa ni nani.
Mbna anafaa kwa matumizi ya binadamu.
Anashawishi shawishiii, [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2874882
Awapigie na sahivi awaambie polee kwa kufungwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa hii timu imelaaniwa sana yaani eti nae kizimkazi aliwapigia simu jionii hii [emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16] kuwapa hamasa eti
Ebwana hio ugonjwa kuna mtu nimemuona leo full matongotongo macho yameloa damu mekunduuuHebu warudi sasa tuumwe wote red eyes halafu tar 24 tukafanye zetu usafi basi kiishe kha
Coca hebu tusigombane bure, chuki hizo na Manula kwa kitu gani? Sina mambo ya Uyanga kwenye timu ya Taifa ndio maana unaona hakuna nilikompondea mchezaji yeyote wa Simba.Una chuki binafsi na manulaa, kwenye ukweli kuweni waziii.