stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Jamaa aliponiona eti ndio akazidi kukodoa macho zaidi ili nimuangalie na Mimi unipate vizuriKaa naye mbali yaani unasambaa haraka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa aliponiona eti ndio akazidi kukodoa macho zaidi ili nimuangalie na Mimi unipate vizuriKaa naye mbali yaani unasambaa haraka sana
Tuwekeze kwenye academy....sio hamasa[emoji23]Yah sio wa kitoto wale
Nyie uto mlivyoanza kuwapokea wageni timu pinzani uwanja wa ndege ndipo uzalendo ulipotuishia tukasema kama mbwai iwe mbwai...Tangu lin makolo wakawa wazalendo [emoji23][emoji32]
kama wameenda kujifunza basi wasilaumiweWameenda kujifunza
Halafu utakuta mtu alikuwa anakomaa kubwa hawa CCM staz wangeifunga Morocco labda ingekuwa ni uchaguzi tume ya taifa ya uchaguzi isingeiangusha staz
Nyie mliopo krb na Ikulu washaurini..Tuwekeze kwenye academy....sio hamasa[emoji23]
😂🤣😁😁😁Eti timu ya mipango na hamasa..mara timu kizimkazi basi tafrani... 😀 😀
🤣😂😁😁Nyie mliopo krb na Ikulu washaurini..
Ndio hivyokama wameenda kujifunza basi wasilaumiwe
Hapana bhana kwenye ukweli tuseme, unavyosema kuwa ushachoka maumivu ya kipa kutokua na uwezo kuwa ktk team ya taifa na hujazoea, na ukasema kuwa wavumilie hao hao wenye kipa wao wa kufungwa 5, ulimaanisha nn?Coca hebu tusigombane bure, chuki hizo na Manula kwa kitu gani? Sina mambo ya Uyanga kwenye timu ya Taifa ndio maana unaona hakuna nilikompondea mchezaji yeyote wa Simba.
Sio lazima tukubaliane, hivyo ni vyema kuheshimu maoni ya wengine.
Mbona mimi sijakuvaa unavyoponda beki zilikuwa hovyo? Tena umeweka wazi kabisa ni beki za Yanga Bacca na Mwamnyeto...
Ila wizara na TFF ndo wameyataka..sijui ni njia ya kugawana hela za watu walizochanga?Matapeli tu wale
Ova
Tukazane kwenye mziki tumkaribie mnigeriaTulishakubaliana hakuna tunachokiweza sasa mnalia lia nini hapa.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Tutakula wapi....acha iwe hivi hivNyie mliopo krb na Ikulu washaurini..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu lazima niruke nae, huenda ndo ikawa ticket ya kutokaa bongo, unashangaa ananibebaaa mambeleeUkipata no yake usituangushe sisi tupo na wewe hadi umpate [emoji1787]
Mi nimesema tusigombane & actually hiyo level ya kugombana na watu JF nilishaivuka mwaya.Hapana bhana kwenye ukweli tuseme, unavyosema kuwa ushachoka maumivu ya kipa kutokua na uwezo kuwa ktk team ya taifa na hujazoea, na ukasema kuwa wavumilie hao hao wenye kipa wao wa kufungwa 5, ulimaanisha nn?
Ndo maana nkasema una chuki binafsi, mie nasema kuwa mabeki wabovu hata Zimbwe yupo pia. Tunachokataa ni lawama kwa Manula, hachezi pekee yake.
Kwann nimesema chuki binafsi, paragraph ya mwanzo, ndo imemaliza, nweiii mie hata sidhani km tunagombanaa, just kuelekezana tyuuuh na kilichotokea uwanjani.
Relaaaaxxx
Usiku mwema... 😂 😂 😂 😂 🐸 🐸Tutakula wapi....acha iwe hivi hiv