Iwalivyoanza na muda mwingi wa mchezo watu wa mwisho Walikuwa bacca, bakari na mnoga .Mbona backline ilikuwa wanne jamani midfield watano.
Zimbwe na novatus wakawa mbele kidogo kuanzisha mashambulizi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwalivyoanza na muda mwingi wa mchezo watu wa mwisho Walikuwa bacca, bakari na mnoga .Mbona backline ilikuwa wanne jamani midfield watano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana cha kufanya? Huo uchuro sasa khaaahKazi ipo nimekutana na mdada angalia hapa eti kisa Tz kala 3 bila [emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Hata South Africa pia.Yaani beat la zambia na Tanzania linafanana kila kitu wimbo wa taifa
😂🤣😁😁Nakabembeleza naona kama kananitia upwiru hapa😂🤣😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana cha kufanya? Huo uchuro sasa khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ana nyege wallah. Au ameachwaa afu anasingizia starz kufungwa, Lol[emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16]Nakabembeleza naona kama kananitia upwiru hapa[emoji23][emoji1787][emoji16]
Ccm ijiweke kando na football,waache kuleta siasaPenda cha kwenu wewe mkataa kwao ni Mtumwa
Jamani tuwe wapole hawa Morocco waliitoa Ureno ya Cristiano Ronaldo!
Nadhani yale ni maji marefu kwetu, tukijipanga Congo na Zambia kidogo ndio size yetu.
Mda si mrefu ntampa Raha huyu na Leo nipo bar hapa kigamboni ngoja nipige hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ana nyege wallah. Au ameachwaa afu anasingizia starz kufungwa, Lol
Siasa imeathiri vipi mchezo wa leo??Mkuu embu tulia.
Morocco leo wameniheshimisha mama samia mwenyew anaibetia morocco
🤣🤣
Shida hatuupendi ukweli na siasa kila sehemu
NdioTuendeleee kuzagamuana tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nomaNa mida ndo hii
Tuendelee kuilaumu ccm kama kawaida yetuSasa aie mpira sii tumehamishia mdomoni kaka. Wewe first 30 minutes pass za mbele ,over overhit
Duuuh Chafema ndio mnatoa hela za Stars au?Ccm ijiweke kando na football,waache kuleta siasa
Kama umebet kesho ushapata ya supu.Jamani zambia vs congo GG sii inatoa?
Sasa kama ni kweli.Spirit wataitoa wapi wakati kocha alishawatuhumu kuwa hawajitumi
Usisahau South Africa wenye wimbo wao Sisi tumesample tu tumecopy kila kituYaani beat la zambia na Tanzania linafanana kila kitu wimbo wa taifa