FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
Team inaenda na mwijaku, baba levo,.
Sasa hamasa zenyewe mbna hatuzionii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa hii timu imelaaniwa sana yaani eti nae kizimkazi aliwapigia simu jionii hii 😂🤣😁😁 kuwapa hamasa eti
 
Jamani tuwe wapole hawa Morocco waliitoa Ureno ya Cristiano Ronaldo!

Nadhani yale ni maji marefu kwetu, tukijipanga Congo na Zambia kidogo ndio size yetu.
Congo au Zambia toka lini wakawa saizi yako?.
 
Brazil alifungwa na Morocco,na si Brazil tu,Hispania na wengine wanaojua mpira,huwezi linganisha mchezaji wa namungo na anayecheza man u, tatizo Kuna wakulima na wafugaji wengi mnashabikia mpira siku hizi,hamjui lolote kuhusu mpira,wachagga nao siku hizi wanashabikia mpira badala ya kuuza duka
Inasikitisha sana
 
Nimefurahi sana tena naona 3 ni chache wangepigwa hata wiki ingependeza.
 
Wanaomlaum Manila ni wajinga wanatoa mawazo kipuuzi Sana, lakini pia wanaowalaum mabeki ni wapuuz na wajinga Sana!. Kwahiyo mlitegea matokeo tofauti na haya?. Bata nyie
 
Hebu warudi sasa tuumwe wote red eyes halafu tar 24 tukafanye zetu usafi basi kiishe kha
 
Kabisa hii timu imelaaniwa sana yaani eti nae kizimkazi aliwapigia simu jionii hii [emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16] kuwapa hamasa eti
Awapigie na sahivi awaambie polee kwa kufungwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ajue mpira hautaki taarabu wala tarumbetaaa, kutwaa kupeleka wajomba maresh na team, mabasha wao watawapapatikia mda gani?

Full vitukooo
 
Una chuki binafsi na manulaa, kwenye ukweli kuweni waziii.
Coca hebu tusigombane bure, chuki hizo na Manula kwa kitu gani? Sina mambo ya Uyanga kwenye timu ya Taifa ndio maana unaona hakuna nilikompondea mchezaji yeyote wa Simba.

Sio lazima tukubaliane, hivyo ni vyema kuheshimu maoni ya wengine.
Mbona mimi sijakuvaa unavyoponda beki zilikuwa hovyo? Tena umeweka wazi kabisa ni beki za Yanga Bacca na Mwamnyeto...
 
Back
Top Bottom