Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Nini kifanyike mkuuWanasubiria pass za kaunta ataki na ndio hapo naposema itakuwa ni ngumu kwa safu ya mbele kuwa na tachi nyingi kwasababu mipira mingi inaishia kati
Bibi unaangallia kupitia kingamuz kipi
Hpn haizid tatuLeo mbna tutapigwa nyingiiii mnooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YesYupo jukwaani Ivory Coast?
Manula mnamuangushia tu jumba la lawama ila mnamkosea sanaHuyu Manula ni tataka 🚮🚮🚮
Wanacheza 523, lakini Mpira unacheza kwenye hafu yetu yani karibu na kipa, unategemea Nini, hafu mbona wachezaji wazito ndo madhara ya kudanganya umriHii staili ya Kuchezea na mshambuliaji mmja mbele binafsi sijakubali kabisa hata kama mtasema ni kujihami.
Kocha aongeze mshambuliaji mwingine mbele Bora wawe 2
Piga makima hayoooooooooo!Pressing toka mbele ni nzuri tukiwa na mpira, lakini ni mbaya sana tukiupoteza mpira, jamaa wakipiga counter attack yatatukuta makubwa...
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app