Mwakapesa II
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 554
- 915
Sabu nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana kitete .Sielewi Taifa Stars wacheza kwa malengo yapi.
Kila wachezaji wa nyuma wakipata mipira waibutua bila malengo ya kutoa pasi au vipi.
DustTaifa Stars wapo vizuri sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa km chizii wallah.Wanafidia za waarabu wote algeria tunisia egypt mpaka tujambe dengu
Kocha alikua hana plan ya sisi kucheza kwenda mbele.Uwanja umeinama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwamnyeto anageuzwa kama yuko depo ya arusha mama....kulia geuka chap kushoto geukaaaa [emoji65]
Walikuwa Vizuri mwanzoni naona sasa hivi baada ya kufungwa kama wamepungua kasi..Dust
Mwambie aache ujinga hajui hiyo timu ni ya mwenyekiti wa wanaume dunianiManulaa ana mkazia ziyech