Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kumbe nabishana na mwanamkeSasa si tutaangalia wamefungwaje, khaaaah
Ko team ikifungwa lawama abebe kipa, hata km uzembe wa mabeki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe nabishana na mwanamkeSasa si tutaangalia wamefungwaje, khaaaah
Ko team ikifungwa lawama abebe kipa, hata km uzembe wa mabeki?
Mkuu hiyo ball possession ya 49 tumeitoa wapi?Hatuna shot on target hata mojaView attachment 2874838
Hautaki kuchomoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha izameee.
Kila kitu kilikiwa vizuri. KIWANGO CHETU KILIKUWA KIDOGO KUTOSHEA KUFUNGA HATA GOLI MOJA. TUTULIE TUACHE MANENO.
Ungesikia tunamshukuru Mama ametuwezesha tukashindaHapa wanasiasa watajitenga...[emoji23][emoji23]ila tungeshinda Sasa guess what could happen [emoji23]??
Msinichekesheee hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachezaji walioonyesha walau kiwango bora
1. Bacca
2. Bakari Nondo
Manula kafanyaje tenaSawa vipi Manula?
Tengenezeni viwanja wanaojua mpira waje wacheze AFCON ijayo
Wewe bibi hebu nenda kamalizie story ya buzi la kidosi lililochunwa na kuchuna , mambo ya boli huyawezi muachie Nifah.hao wachezaji wanaocheza rafu watakuwa chadema hao.
Kipa gani wa kupangulia ndani kila mara?Goalkeeper tunaye....
Ila Mabeki vichwa panzi wote.
Hujaangalia mpira au?Mkuu hiyo ball possession ya 49 tumeitoa wapi?
Acha tu Beshte....Usilie beshte ulifikiri kwa beki ile tungetoboa??? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
🤣🤣Mkuu hiyo ball possession ya 49 tumeitoa wapi?