Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaona zile back passes mkuu.Mkuu hiyo ball possession ya 49 tumeitoa wapi?
Hapa naweza kukuelewa sasa...Sio mabeki, sio Kipa...wote hovyo
Mipira ya kudaka kipa anapunch hlf anapunchia ndani ya box
Viungo na strikers ndio hovyo kabisa...wanacheza tu rafu
Hafai nasema hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa, anayumba mno.Kizimkazi badala hiyo pesa ajenge academy yeye ananunua magoli 😄🤣😄
Aliiua timu ya taifa ???[emoji23][emoji23] huyo ba tamu achana nayoUnadhani kwa team ya Taifa naumia? Hapa nasubiri ba tamu aseme amepata kias gan, nilichangia hela ya kubetiaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😂🤣🤣Sema timu yetu inachanganywa na siasa ndo maana mambo ni mengi sanaWaambie na vyura wenzio wapunguze mahaba. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mashindano ya uzembe tutashindTutatia aibu namkwambia...host first round elimination.
Mie nasema bongo tuende mashindank ya kugegedana tuu mpira sie bado
Kwani si tu wachezaji wengi kwenye vilabu vyetu wameenda wapiWe
wewe sema tu unapiga mbio ndefu mpaka kesho
Hakuna mtu anakosa hamu ya kula kwa timu hii ya ndondo cup temeke
Kwa timu yenye ubora kama ile 3 kipa kajitahidi sana maana huko ni magoli ya uhakika sio ule ulozi na uchawi wa utopolo siku ile..hahaha...Mtani 3 ni nyingi sana aisee😂😁🤣🤣sema refa wa Leo nae muhuni tu
Alisema unawezaje kwenda kigoma na sh 250...??Uwezo wa kocha ni Mdogo sana .
1. Unacheza na Morocco unaweka backline 3 na midfield 4 ????
2. Mchezaji ana kadi na anafanya faulo Mara kwa Mara anashindwa kumtoa mapema kwa tahadhari?
3.Wachezaji wa nje hawana msaada wowote kwa timu wamejaza nafasi za bure.
😂🤣😁Haha tena nao mchezaji wao alipewa red card mapema kabisa kipindi cha kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km Bacca na mwamnyetoo wanaacha ziyech na onaia wachachafyee ndani ya box, manula afanye nn?Tatizo ni kipa MANULA [emoji23]
Yule refa kamtolea macho Zimbwe na Ninja km angekua na Sime pale 🥶Mtani 3 ni nyingi sana aisee😂😁🤣🤣sema refa wa Leo nae muhuni tu
Sasa refa kafanyaje jamniJuhudi, ila wamekuwa discouraged sana na refa