Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Morocco hawana maisha marefu sana kwenye hii tournament
Manula 5 leo tena Manula 3Uchawi si hauvuki maji nasikia..ndo maana Simba na Yanga zikatolewa kizimkazi..hahaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo mengine nikunitakia kifungwa tuu
Weka na nyaya zake kabisa...Kwa hio bado unataka kuchomeka Maiki
Tobaaaaah wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu laana ya kuleta hao [emoji304] kutoka Ulaya badala ya Vijana Wetu waliopigania Nchi.
Kad imewatoa mchezoni wachezaji
Amna mkuu ....wale Morocco ni level nyingineVile vitoto vipuuzi vinakaba kwa macho...ila Tanzani ligi yetu inabebwa na kina Chama na Kina Aziz kina Inonga ila zaidi ya hapo ni huzuni kwakweli...
Jinga sana weweFULL TIME = FISIEMU = 0 MOROCCO = 3
Utajijua...kikubwa pazia leo lilitobokaManula 5
sisi wote tumecheza mpira, unajijua kabisa una njano, alafu unakuwa reckless, kweli? na refa mwenyewe alikuwa wa kwao yule.Punguza malalamishi
Napenda ila nguvu kubwa ipelekwe kwenye michezo tunayoweza.Penda cha kwenu wewe mkataa kwao ni Mtumwa
Duuuh umedhamiria kabisa kupiga makeleleWeka na nyaya zake kabisa...
Yah sio wa kitoto waleAmna mkuu ....wale Morocco ni level nyingine
Hilo kocha lenu hakikujau watu Wana kadi wabadilishwe?Kad imewatoa mchezoni wachezaji
Ukiweza weka soundproofDuuuh umedhamiria kabisa kupiga makelele
Mboni vijana wanacheza vizuri tuNapenda ila nguvu kubwa ipelekwe kwenye michezo tunayoweza.