Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ndo unalolijua hilo tuu? Huna jipya huna content...Imeuma chomoa Maiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo unalolijua hilo tuu? Huna jipya huna content...Imeuma chomoa Maiki
Kaa naye mbali yaani unasambaa haraka sanaEbwana hio ugonjwa kuna mtu nimemuona leo full matongotongo macho yameloa damu mekunduuu
Unawashwa ?Chomoa Maiki
Uduguu wee humuoni alivyo km black American wa Atlanta?Kumekucha udugu kumekucha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zinauma kwa kuchekaa.Samata katolewa kanuna huyo kama vile vibinti vya buguruni kimboka[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Msigombane kwa akili ya hii timu ya mipango na hamasa yaani hii timu ya hovyo ndo inawagombanisha embu msigombane marafiki zangu wapendwaCoca hebu tusigombane bure, chuki hizo na Manula kwa kitu gani? Sina mambo ya Uyanga kwenye timu ya Taifa ndio maana unaona hakuna nilikompondea mchezaji yeyote wa Simba.
Sio lazima tukubaliane, hivyo ni vyema kuheshimu maoni ya wengine.
Mbona mimi sijakuvaa unavyoponda beki zilikuwa hovyo? Tena umeweka wazi kabisa ni beki za Yanga Bacca na Mwamnyeto...
Kwa hiyo CAF wanakosea kutukutanisha au? Tena umekosea kutaja Man U.Brazil alifungwa na Morocco,na si Brazil tu,Hispania na wengine wanaojua mpira,huwezi linganisha mchezaji wa namungo na anayecheza man u, tatizo Kuna wakulima na wafugaji wengi mnashabikia mpira siku hizi,hamjui lolote kuhusu mpira,wachagga nao siku hizi wanashabikia mpira badala ya kuuza duka
Maneno hayasaidii chochote miaka itaenda itarudi lakin hakuna kitu tutFanya kama hakuna mabadiliko yatayofanyika.Yaani boraa angebakia samataaa alieingia n bogus tupu
🤣😂😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zinauma kwa kuchekaa.
Amekushawishi kushangilia Dua zenu fc ama?Anashawishi shawishiii,
Ukipata no yake usituangushe sisi tupo na wewe hadi umpate 🤣Uduguu wee humuoni alivyo km black American wa Atlanta?
Ana ni drive crazy huyu jamaaa, afu anachezea Bongo nyosoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maajabu.
Eti timu ya mipango na hamasa..mara timu kizimkazi basi tafrani... 😀 😀Msigombane kwa akili ya hii timu ya mipango na hamasa yaani hii timu ya hovyo ndo inawagombanisha embu msigombane marafiki zangu wapendwa
Tangu lin makolo wakawa wazalendo [emoji23][emoji32][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata ningekua nabett mwenyewe kuiua staz ni lazimaaa.
Haina kona kona
Muulize Cocastic..yy ndo anajua mahandsome boyWarembo wa jf walenda mlira mbona sijasikia mkisema hakimi ni handsome boy, au kisa alimpa mali zote mama yake 🤣🤣🤣🤣
Wamewapa hela wale wa wazee wa hamasa kiubweteEti timu ya mipango na hamasa..mara timu kizimkazi basi tafrani... [emoji3] [emoji3]
Acha tuu inasikitisha sasa wamefanya nini?Wamewapa hela wale wa wazee wa hamasa kiubwete
Ova