FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

Hivi kuna mtu anachukia back passes kama mimi?

Natukana mpaka sauti inaisha.
 
Timu ya taifa ina harufu ya rushwa, kuna namna baadhi ya selections za wachezaji flan flan zinafanywa ki upendeleo.

Hilo liko wazi kabisa!
Sidhani kama tuna wingi wa wachezaji wazuri sana kiasi cha rushwa kuwepo kwenye uchaguzi wa wachezaji, hayp mambo ni huko kwenye mataifa yenye wachezaji wengi wazuri.
 
Hatuwezi hata pasi tano mfululizo.
 
Wajinga kwa hizi Sub wana jilipua, hapa tujiandae kushikilia bomba.
 
Mpira uishe sasa maana daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…