Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Hivi kuna mtu anachukia back passes kama mimi?
Natukana mpaka sauti inaisha.
Natukana mpaka sauti inaisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mbadala wake ? SI angalau yy anakaa kidgo na mpira na kutoa pasi.inafika.Samata ni tatizo.
Shabalala anapenda sana wakati anahatarisha timuHivi kuna mtu anachukia back passes kama mimi?
Natukana mpaka sauti inaisha.
Sidhani kama tuna wingi wa wachezaji wazuri sana kiasi cha rushwa kuwepo kwenye uchaguzi wa wachezaji, hayp mambo ni huko kwenye mataifa yenye wachezaji wengi wazuri.Timu ya taifa ina harufu ya rushwa, kuna namna baadhi ya selections za wachezaji flan flan zinafanywa ki upendeleo.
Hilo liko wazi kabisa!
Nani huyoPicha ya sikuView attachment 2878988
Tukiendelea kulinda golini kwetu,kuna uwezekano wa kufungwa ama penalty.Hawa jamaa wanaweza wakasawazisha