FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

Nachukia na nakereka na timu inayorelax baada ya kufunga bao moja tu, wanashikilia bomba vizuri halafu dakika za mwisho wanaachia wanafungwa..

Tunaanza kufarijiana kwa kupigiana mahesabu ya kwenye karatasi.. Fulani afungwe na fulani na sisi tushinde...WHAT THE....[emoji35]
 
Wamejitahidi though... Na back pass zao!

Possession tulikuwa juu...
 
Kama tumeshindwa kupata ushindi mechi hii, mtamfunga nani dunia hii enyi watanzania?

Back passes nyingi zisizo na kichwa wala mguu wakati una kagoli kamoja, mwisho wa siku unamrudishia Manula au beki anabutua mbele mpira unapotea mnaanza kuusaka upya. Mambo haya wanafanya hadi mapro kina Samatta ambao ungetegemea watupe mwanga wa namna bora ya kucheza kumbe ndiyo walewale tu badala ya kusukuma mashambulizi yeye ndiyo anayapoza.

Halafu Simba bado tunawategemea kina Zimbwe watufikishe nchi ya ahadi.
Samatta amekwishwa kabisa, hajaisaidia team chochote.
Ingependeza mashindano haya yawe ya MWISHO KWA SAMATTA
 
Mpuuzi anakimbia kwenye wing anashindwa kupiga v pass kwa kibu dennis yuko free kabisa

Mzamiru kama scott mctominay wote wanajua pass za nyuma na pembeni na kujificha kwenye build up

Samatta anataka kujifanya messi unaenda wapi na mpira huna quality dribbling

Mechi ya congo aanze mudathir na yule kokola na lusajo

Taifa hatuna proper target man 9

Cross zinapigwa hamna mtu😆😆😆 kwa kweli Tanzania kituko mnalinda zambia wako pungufu😂
 
Back
Top Bottom