Ikowazi hiyo.Bada ya Jana wale wazurulaji wa kimataifa kuliaibisha taifa, leo mabingwa wa nchi na timu ya Wananchi wa Tanzania Young Africans Leo wanaenda kulipa taifa raha[emoji123][emoji123][emoji1732][emoji1732]
Katupia wavuni tayariiii au? ππ¬Bangalaaaah........
Tumieni kiswahili tu Kwa kila sentensi ππππππππHua natabia ya kuota vitu baadhi huwa ni kweli. Nimeota Mshindi wa leo atashinda kwa magoli 2 au 3. Goli moja kati ya hayo itakua la kujifunga. Sijui ni timu gani hasa itakayoshinda. Ila kupitia ndoto yangu naipa Yanga 60% na mpinzani 40%.
Ngoja tuone itakavyokua!
I'm crossed my fingers and Waiting π€
Usizunguke jiweke wazi kwamba wewe ni Uto. Hakuna ndoto ya hivyoHua natabia ya kuota vitu baadhi huwa ni kweli. Nimeota Mshindi wa leo atashinda kwa magoli 2 au 3. Goli moja kati ya hayo itakua la kujifunga. Sijui ni timu gani hasa itakayoshinda. Ila kupitia ndoto yangu naipa Yanga 60% na mpinzani 40%.
Ngoja tuone itakavyokua!
I'm crossed my fingers and Waiting π€
Mimi ni yanga damu damu.Usizunguke jiweke wazi kwamba wewe ni Uto. Hakuna ndoto ya hivyo
Mzee wa bwaksi unaota ndoto πBada ya Jana wale wazurulaji wa kimataifa kuliaibisha taifa, leo mabingwa wa nchi na timu ya Wananchi wa Tanzania Young Africans Leo wanaenda kulipa taifa raha[emoji123][emoji123][emoji1732][emoji1732]
Bora umekiriMimi ni yanga damu dadamu.
Ligi kuu ushindi mpaka makosa ya magoli kipa, alafu unatarajia yanga ampige mtu Hamsa [emoji23]Bado mbungi haijaanza leo yanga wanapiga mtu 5
Pale Mudathir ..pale aucho...pale aziz k...pale fiston...pale bangala...na hapo Doumbia...langoni namwona Djigui Diarra...Zimebaki dk chache sana watu wakimbie Uzi [emoji16]
Mambo leo ni π₯π₯π₯π₯π₯ ushindi ni lazima luv Makiwendo tuko pamoja ππππππ
Mkuu, baada ya mechi nita kuomba urudie hii comment yako kama hutojali..Pale Mudathir ..pale aucho...pale aziz k...pale fiston...pale bangala...na hapo Doumbia...langoni namwona Djigui Diarra...
Asante mtani, kuja kutuunga mkono πͺπͺπͺ[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Pamoja Mtani...
Nimetulia mkuuKwa kwa kutulia ujionee mwenyewe usiandikie mate na wino ungalipo mzee wa bwaksi
mkia endelea kuugulia maumivu ya kupigwa na wale wabovu wasiojua hata kupiga pasi 3Zimebaki dk chache sana watu wakimbie Uzi [emoji16]