FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

Simba jana wamejaza viungo wakabaji watatu wamepata sare au ushindi? Wabongo bwana, kila mtu ni kocha wa mpira
 
Sema tu Tunisia hakunaga Tigopesa na mwamuzi wetu Arajiga hii mechi Yanga tungeshinda nyingi tu na mikimbio mingi tuliokuwa nayo
Hata bahasha hakuna?
20230212_212354.jpg
 
Approach yake ya away ni ovyo, away anza kwa kujilinda kwa kutafuta sare hivyo viungo wakabaji ni muhimu.
Team selection ni ovyo, Lomalisa sio mchezaji wa kukaa benchi. Ni mrefu na ana offer vitu vingi kuliko Kibwana.
Yule beki wa kutoka Mali kaletwa kama urembo sio kwaajili ya mechi za kimataifa ama.
Mayele kawa floppy wa mechi ya leo na hakustaili kumaliza dakika 90, ni mmoja wa mchezaji aliyeharibu move nyingi.
Acha undezi wewe, Simba iliyojaza viungo kibao jana mbona wamepasuka mbele ya timu mbovu? Umekaririshwa eti, Mpira ndivyo ulivyo kuna mistake ukifanya unaadhibiwa wametumia nafasi walizopata na yanga wamejifunza kitu
 
Kwa hiyo leo nabi hafai? Bila shaka wewe sio kati ya wale wawili.
 
Angekuwepo Morison tungeshinda hii mechi. Trust me!!!!
Yanga hakuna winga anayejua kufosi kama Morrison, Moloko, Kisinda na Farid hakuna kitu. Jamaa hawakuonesha mpira wowote zaidi ya kuizidi Yanga kwenye mipira ya juu kutokana na aina ya mabeki wetu
 
Approach yake ya away ni ovyo, away anza kwa kujilinda kwa kutafuta sare hivyo viungo wakabaji ni muhimu.
Team selection ni ovyo, Lomalisa sio mchezaji wa kukaa benchi. Ni mrefu na ana offer vitu vingi kuliko Kibwana.
Yule beki wa kutoka Mali kaletwa kama urembo sio kwaajili ya mechi za kimataifa ama.
Mayele kawa floppy wa mechi ya leo na hakustaili kumaliza dakika 90, ni mmoja wa mchezaji aliyeharibu move nyingi.
Angetolewa Mayele uwanjani kuna wachunga Ng'ombe wake wangefoka ile mbaya.
 
Back
Top Bottom