Orlando_
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 662
- 1,209
Jamaa hawakuonesha mpira wowote lakini wamewakaanga bao mbili.Yanga hakuna winga anayejua kufosi kama Morrison, Moloko, Kisinda na Farid hakuna kitu. Jamaa hawakuonesha mpira wowote zaidi ya kuizidi Yanga kwenye mipira ya juu kutokana na aina ya mabeki wetu