FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

Huyu Israel ni mshenzi sana aisee, sijui kwanini huwa anaependa kurudisha mipira nyuma hata bila kukabwa.

Hapa tunakufa 5 lazima.
Ikitokea hivyo nitasema Simba imekosa weledi kwenye mechi za derby
 
Hilo lilikuwa goli kabisa, tumeshindwa kuwa makini hapo mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…