Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Lakini haiondoi ukweli kwamba yanga ya dar imecheza na yanga ya mkoaniHivi Mashabiki wa Simba mnaongea nini😅😅😅 mmecheza na prisons wanacheza nusu uwanja wanawaacha kina Zimbwe wanacheza kwenye box lao dakika 45 zote za kwanza hao wakina ngoma wanapasiana pasi kama wako mazoezini wanakabia macho utasema mpira umesimama na mkafunga 3 tukanyamaza😅😅
Kipindi cha 2 wakaja kukaza mkaondoka na 3 zenu zile zile! Nawaambia Timu zikiwakazia kama JKT au kama wanavyokaziana wao kwa wao mtaondoka na point moja kila mechi! SIngida hata wapange first Eleven yao ya nje Kwanzia kwa Imoro hawatoboi bado hawa Combination na ndo mana match 2 hizi kwanzia ya JKT Rupia/Sowah hawaanzi pamoja hao wakina Arthur hata wakicheza na Kengold wanatokeaga Sub
Pokou mwenyewe hachezeshwagi dakika 90
Tatizo hamuangaliagi match tofauti na za Simba na yanga
Weka na takwimu za kimataifa boss tuone Yanga alivyo mbabe dhidi ya mtani wake.Kutoka mwaka 2020 mpaka 2025 kwenye LIGI KUU - Yanga amepoteza mechi 1 dhidi ya Makolo. Miaka 6 ni mingi😂 leo wana nguvu kabisa na wanapaza sauti Singida ni dhaifu kwa Yanga. Aliyewahi kusema Tanzania ni channel ya vichekesho wala hakukosea. 😂🙌🏼 CC Bantu Lady ephen_ Shadeeya View attachment 3239300
Mzize/MpumeleloWafungaji wa magoli ya yanga please!
😍😍😍Kutoka mwaka 2020 mpaka 2025 kwenye LIGI KUU - Yanga amepoteza mechi 1 dhidi ya Makolo. Miaka 6 ni mingi😂 leo wana nguvu kabisa na wanapaza sauti Singida ni dhaifu kwa Yanga. Aliyewahi kusema Tanzania ni channel ya vichekesho wala hakukosea. 😂🙌🏼 CC Bantu Lady ephen_ Shadeeya View attachment 3239300
SawaaaaLakini haiondoi ukweli kwamba yanga ya dar imecheza na yanga ya mkoani
Unakimbilia kimataifa tu.Weka na takwimu za kimataifa boss tuone Yanga alivyo mbabe dhidi ya mtani wake.
Makolo yanatia huruma.Kutoka mwaka 2020 mpaka 2025 kwenye LIGI KUU - Yanga amepoteza mechi 1 dhidi ya Makolo. Miaka 6 ni mingi😂 leo wana nguvu kabisa na wanapaza sauti Singida ni dhaifu kwa Yanga. Aliyewahi kusema Tanzania ni channel ya vichekesho wala hakukosea. 😂🙌🏼 CC Bantu Lady ephen_ Shadeeya View attachment 3239300
Kule hakuna Janja janjaUnakimbilia kimataifa tu.
Lafudhi, lafudhi.Punguzeni kugawa uroda kwa Yanga.
Usiwe serious sana, ni utani wa jadi huu. Tuhuma serious zinafunguliwa mashtaka, ushamuona yeyote amewashtaki?Hili mkija na tuhuma zenu za uongo angalau mpate kusikilizwa na wenye akili.
Yanga angekuwa mkubwa angevuka makundi kimataifa, ni mdogo mno.Sasa wewe mpinzani mkuu wa Yanga umefungwa game 4 mfululizo tena wewe ni mkubwa kuliko timu zilizobaki ukiotoa Yanga.
Sijashangaa boss, ntashangaa mkivuka makundi.Wewe mkubwa unafungwa unashangaaje wadogo wakifungwa?
Hahaha, Kahongeni waharabu kwa $ tujue mpo serious maana ndo wanawatusuaga hamvuki.Au una wivu untaka ufungwe wewe tu kolo wenzio wasifungwe?
😀😃😃Makolo yanatia huruma.
Kazi kuwasakizia watoto tu.
Wao kazi wameishindwa ya kumfunga yanga.
Yanga aina tofauti na Kengold tu. Zote hazıpo CAFUnakimbilia kimataifa tu.
Punguzeni kugawa uroda kwa Yanga.
Hili mkija na tuhuma zenu za uongo angalau mpate kusikilizwa na wenye akili.
Sasa wewe mpinzani mkuu wa Yanga umefungwa game 4 mfululizo tena wewe ni mkubwa kuliko timu zilizobaki ukiotoa Yanga.
Wewe mkubwa unafungwa unashangaaje wadogo wakifungwa?
Au una wivu untaka ufungwe wewe tu kolo wenzio wasifungwe?
bado moja la mzize.Mzize/Mpumelelo