Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Hii mechi ingemfaa sana Kibu D
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mmeshaanza, LolHuyu Shalulile mbona kama Manila katoka?
Wewe unaona Kuna Dalili yeyote ya hatari Yanga inaleta? Hakuna kitu ndio maana nasema Simba walicheza vizuri Jana kuliko huu uto wa YangaHatariii sanaaa,
Kwa hiyo mnacheza nini humo Uwanjani?Kwani kadi ni ajabu katika soccer? Mbona unashangaza? 🤣
Tuna yellow card 1 na wao wana yellow card 1 ajabu ni nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii muda badoo.Wewe unaona Kuna Dalili yeyote ya hatari Yanga inaleta? Hakuna kitu ndio maana nasema Simba walicheza vizuri Jana kuliko huu uto wa Yanga
Au unaangalia marudio?Mamelodi wanacheza kwa hofu sana
Ila wabongo tuacheni siasa,kuna watu wanajua mpira haswa na wana mipango
Haijulikani bado. Ila nadhani kocha anataka counter. Hajataka kushindana nao hapo katikati.Yanga inalinda nini
Ufungue wakotobe tobe wew uwoni walivo fasta kushambulia kwenda MbeleYanga inalinda nini