Huyo mchezaji wa Ahly kushoto kwa saido kama anacheka vile naona kama expression yake inasema"😂😂 hili zee la kirundi linaenda wapi,wacha liruke ruke"Wewe roho imekuuma sana View attachment 2949533
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mchezaji wa Ahly kushoto kwa saido kama anacheka vile naona kama expression yake inasema"😂😂 hili zee la kirundi linaenda wapi,wacha liruke ruke"Wewe roho imekuuma sana View attachment 2949533
😂😁😁Huyo mchezaji wa Ahly kushoto kwa saido kama anacheka vile naona kama expression yake inasema"😂😂 hili zee la kirundi linaenda wapi,wacha liruke ruke"
mara ngapiRelaaaaaaaxxxxx!!!
Wanajisahaulisha makusudi, hii mechi ilikuwa ngumu sana kabla ya dakika 90 uwanjani, tunastahili kuyafurahia matokeo haya.Wamesahau kejeli zao
Nimefika kolo,Kuna Nini hapa🤔🤔?Mwite 🤣🤣na bodaboda wote jf
DuuuTatizo magungu amewafanya mazombie... Haujapita hata mwezi hapa... Mlikuwa mnasema yanga kacheza na Aly Ahly kibonde...
Acha zako we mwanamkee😳😳😂😂😂 wataka sema wamegeuka Zalan fc hawajakwea pipa!?Mamelodi kusafiri umbali wote na bus halafu hawajafunga?? Na mavyakula waliyobeba warudi nayo 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Kaka fala sana weweUnavipata Cairo kwenye kupinduwa meza wakati Waarabu wanakula kwenye majamvi.
I wonder we dada sio mtu wa Mara😂😂😂😂.Yanga ya maana sana, sio kile kikundi cha jana kilichopigwa goli la pre mature, dakika 5 mpira umeisha
AaahaaTatizo magungu amewafanya mazombie... Haujapita hata mwezi hapa... Mlikuwa mnasema yanga kacheza na Aly Ahly kibonde...
NI neno la Kilatini hilo au Greek???Daktari mzima hujui kuandika neno DEFEND, au dokta manyanyau wewe?
We huku huna ujualo. Endelea kuramba makalio ya makonda. Kaamka asubuhi hii, hana tena uenezi. Mfariji leo Rais wako mtarajiwa. Mbumbumbu mwenzako asiyejua anatakiwa angee nini kwenye hadhara ipi. Ye ni mikwara tu kila sehemu.Simba waliishika mechi Jana acha ushabiki maandazi.
Leo Yanga kupata sare ni ushindi mtaenda Kufa kiume huko South Africa 😆😆😆😆😆
Mkuu Mimi Mtanzania Mwenzako sitoki kwa Mandela natoka kwa Nyerere..Kwani wanapokuwa wana posses mpira wanakua wameuweka ndani ya jezi? Pass di ndiyo zinaunda possession? Au mimi ndiye naelewa tofauti?
Nunua glucose mkuu draw inauma tuliza pre
Amepelekwa kaskazini ki mkakati. Elewa hiloWe huku huna ujualo. Endelea kuramba makalio ya makonda. Kaamka asubuhi hii, hana tena uenezi. Mfariji leo Rais wako mtarajiwa. Mbumbumbu mwenzako asiyejua anatakiwa angee nini kwenye hadhara ipi. Ye ni mikwara tu kila sehemu.
Tulishakubaliana Mamelody hana cha nyumbani wala away, naona maelezo yanaanza kuwa mengi.ngoja waende sauzi ndo watawaona mamelodi wenyewe sasa.
Kama mpira walishindwa kuupata, hizo shots on target zilipatikana vipi? Na kwanini kipa wa Mamelod afanye saves nyingi kuliko Diarra?Hakuna kumsoma mpinzani,walishindwa kupata mpira,tofautisha kusoma na kukukosa mbinu za kuchukua mpira.