Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nawaonea huruma safari ya bus ilivyo mbali na walivyochoshwa na Yanga 🤣🤣🤣Acha zako we mwanamkee😳😳😂😂😂 wataka sema wamegeuka Zalan fc hawajakwea pipa!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawaonea huruma safari ya bus ilivyo mbali na walivyochoshwa na Yanga 🤣🤣🤣Acha zako we mwanamkee😳😳😂😂😂 wataka sema wamegeuka Zalan fc hawajakwea pipa!?
🤣🤣🤣🤣 eti kipepe!!!Huyo Kipepe kitendo Cha kuwa kolo tu ni adhabu yake tosha kabisaa😁
We unahisi vipi??Kwahiyo unahisi utamfunga mamelodi pale Pretoria?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah😂😂😂😂hii mimi siamini bhana mamelody asipande ndege aisee azurure na bus!?Nawaonea huruma safari ya bus ilivyo mbali na walivyochoshwa na Yanga 🤣🤣🤣
Kwa mkapa hatoki mtu vipiMudaday imezimika kama kibatari sivyo?
Kwa mkapa hatoki mtuMudaday itaendelea kesho bila shaka mtapiga simu [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣😁🤣😁🤣🤣🤣🤣 eti kipepe!!!
Nimekumbuka yule wa gazeti la sani
Ulitizama game ya Yanga na Club Africain??Km wee unaweza kushinda south ugenini, bas na yeye anaweza kushinda pale kwake. Na uzuri huku ugenini kazuia kufungwa, usilete hoja ya bao la ugenini.
Sidhani km match itaamuliwa kwa mtindo huo.
Club Africain tulimtoaje kwao Algeria??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mwenyeji kwako umeshindwa kumpiga adui, ndo ukampige nyumbani kwake?
Kwahiyo mlikua mnajilinda vile, ili bao la ugenini lisipatikane mkashinde kule south? Woiiiiiiii
Aiseeee😂😂😂😂 mna majibu ya kata shombo la dagaa so poa.🤣🤣🤣🤣 mdogo wake
Hahahaaa. WeeeeHahaaaaa haya bro, naona masandawena hasira za Al Ahly unazihamishia kwa Makonda sio?
Na nilimaanisha huyohuyo Kipepe,ila we ndio ulianzisha eti Kipe😁😁....Kipepe wa chuma msumbufu sana!🤣🤣🤣🤣 eti kipepe!!!
Nimekumbuka yule wa gazeti la sani
VAR ingetumika juzi Al Ahly wangepata penaltyHivi mechi za kwa Mkapa VAR huwa zinafanya kazi kweli
Kuna faulo moja alichezewa mchezaji wa Yanga nilitegemea refa ataitwa lakini wapi
tutajie mechi ata moja msimu huu uliyoshinda ugenini kwenye champions leauge au mwezetu uwa unatazama mechi za mizimuWe unahisi vipi??
Kwani Wydad alimtoa Mamelodi wapi kama sio pretoria msimu jana??
Tanzania ni Yanga pekee iliweka consistency ya kushinda sana ugenini kuanzia enzi za Nasruddin Nabi.
Kaa kwa kutulia game bado.
Mwambie ashukuru Nala paska na wanangu,lasivyo kingewakah🤣🤣🤣🤣 eti kipepe!!!
Nimekumbuka yule wa gazeti la sani
Ukileta reference hiyo na mimi nitakupa reference ya mwaka jana CAFCC Yanga alimfunga Club Africain Algeria akamtoa,Yanga alimfunga Rivers united kwao Nigeria akamtoa,Yanga alimfunga Marumo Gallants kwao Afrika kusini akamtoa,Yanga alimfunga USM Alger kwao Algeria.tutajie mechi ata moja msimu huu uliyoshinda ugenini kwenye champions leauge au mwezetu uwa unatazama mechi za mizimu
apa hutajadili mechi za shirikisho maada iliyopo mezani ni CAF champions leauge mzee usichanganye mafailiUkileta reference hiyo na mimi nitakupa reference ya mwaka jana CAFCC Yanga alimfunga Club Africain Algeria akamtoa,Yanga alimfunga Rivers united kwao Nigeria akamtoa,Yanga alimfunga Marumo Gallants kwao Afrika kusini akamtoa,Yanga alimfunga USM Alger kwao Algeria.
Je hizo sio reference za kuziweka??
Tena wala sio miaka mingi mwaka jana tuu Yanga kafanya hivyo.
Kama tuliweza kuzifunga hizo timu kwao kwanini tusiweze kwa Mamelodi??
Kuna mtu alitegemea tungemfunga Rivers united kwao Nigeria ilhali alitutoaga 2022 CAF??
Achana na huyo kiande.Ndio maana huko juu nikakwambia hadi sasa mechi ipo 50 - 50 kuelekea mechi ya marudiano. Kila timu ina nafasi kufuzu ila wewe unalazimisha ionekane Yanga ndio kaaga mashindano wakati mechi imeisha suluhu. Ili Mamelod afuzu ni lazima apate goli na Yanga nae ili afuzu ni lazima apate goli. Sare yeyote ya magoli yatambeba Yanga, ushindi wowote ule kwa Mamelod utambeba Mamelod.
Khaa!apa hutajadili mechi za shirikisho maada iliyopo mezani ni CAF champions leauge mzee usichanganye mafaili