FT: Yanga SC 1-3 APR FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 07/01/2024

Squad ya Gamondi kwenye Mapinduzi ni ile ile (wachezaji wasiopata nafasi first eleven)
Ina maana Mzize na Zengeli huwa hawapati nafasi kwenye first eleven? Umbumbumbu ni mzigo! Wachezaji huanza 11 kwa sababu hiyo ndiyo idadi inayotakiwa. Haina maana kwamba ambao hawajaanza so waziri. Ndiyo maana huwa inawezekana kufanya "rotation". Msianze kutafuta visingizio mtakapokandwa.
 
Huyu Skudu ana mambo mengi sana yasiyokuwa na faida yoyote.
 
kona zimekuwa lukuki.
APr msituangushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…