Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #81
Eti simba ni kubwa kuliko Yanga ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£ muongeza zeroUsihangaike na shabiki wa kutupa mabomu mochwari. Anakimbia hoja ya wao kutupa mabomu mochwari na kuingiza ile ya wao kubahatisha kufunga timu kubwa, mwache ashangilie hizo goli 5 maana mpaka leo hawaamini waliwezaje kufunga timu kubwa kama Simba ilhali wao ni vyura ππ
Wana husda na chuki vimewazidi ndo maa ni waongeza zero mediocreNilidhani ni viongozi tu wa makolo wana maproblem kumbe hadi wafuasi wao.
Ingekuwa timu ndogo msingejisumbua kukumbuka zile 5 mlizopiga, ila kwa kuwa Simba ni timu kubwa hamjaamini hadi leo mliwezaje kuishinda hiyo timu kubwa ππEti simba ni kubwa kuliko Yanga ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£ muongeza zero View attachment 2860218
Umeona kaka umerudia palepale unajieleza sana una uhakika na ulicho andika rage alikuwa sahihi sana kuwaiteni lile jinaCharles kilian hizo takwimu zisizotambuliwa na TFF huwa mnaziokoteza wapi??
Kama zilikuwepo mwaka 1977 mlivyopigwa 6-0 mngekumbushia zenu za 9-0. Yaani mwaka 1938 yalikuwa mashindano gani hayo??
Wewe nadhani hata kazi huna mjini unawaza mautopolo tuu. Watu tunaangalia mpira just fo leisure wewe umeshafanya MRADI hadi unafungua Uzi. Wenzako wapo kazini wewe kazi unafanya saa ngapi?Tupo tayari kwa mchezo wetu wa pili wa kombe la Mapinduzi hapo baadae ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
View attachment 2859709
Mkuu tuendelee na uzi wako, leo mnatupa tena bomu mochwari ππWana husda na chuki vimewazidi ndo maa ni waongeza zero mediocre
Ingekuwa timu ndogo msingejisumbua kukumbuka zile 5 mlizopiga, ila kwa kuwa Simba ni timu kubwa hamjaamini hadi leo mliwezaje kuishinda hiyo timu kubwa ππ
Ndo maana hawafanikiwiWana husda na chuki vimewazidi ndo maa ni waongeza zero mediocre
Mkuu ebu punguza kidogo!Ingekuwa timu ndogo msingejisumbua kukumbuka zile 5 mlizopiga, ila kwa kuwa Simba ni timu kubwa hamjaamini hadi leo mliwezaje kuishinda hiyo timu kubwa ππ
Mvi na kushangilia timu ndogo kufunga timu kubwa nani ana matumizi mabaya ya Mvi? Au na wewe huwa unapaka super black kama yule mfadhili wenu mwenye nguvu ya vyura?Mkuu ebu punguza kidogo!
Mbona unatumia vibaya mvi? Wenye mvi wanasifika kua na hekima wewe vepe?
Unijui sikujui Mimi unknown wewe unknown usilete kujuana i am old school don't battle with me you pussyWewe nadhani hata kazi huna mjini unawaza mautopolo tuu. Watu tunaangalia mpira just fo leisure wewe umeshafanya MRADI hadi unafungua Uzi. Wenzako wapo kazini wewe kazi unafanya saa ngapi?
Nakusikiliza endelea...... πView attachment 2860221wayaaaaa ayubu iloooooo π€£π€£π€£π€£ππ
Sawa mkuuMvi na kushangilia timu ndogo kufunga timu kubwa nani ana matumizi mabaya ya Mvi? Au na wewe huwa unapaka super black kama yule mfadhili wenu mwenye nguvu ya vyura?
Sawa mtani ila wewe timu yako mbovu sanaNakusikiliza endelea...... π
South Sudan kuna tatizo la mtandao Engineer Hersi kawatuma vijana wakafunge mnara wa [emoji2393] G kama tulivyo fanya Djibouti , kinondoni, Zanzibar na MsimbaziWataalamu wa kuseti minara ya 5g Leo wamerudi tena yaani ni zaidi ya starehe Leo
Sio kama wale wa Jana mpira kama wanalima
Naunga mkono hojaNdo maana hawafanikiwi
Mkuu ebu punguza kidogo!
Mbona unatumia vibaya mvi? Wenye mvi wanasifika kua na hekima wewe vepe?
Tusubiri sasa bomu lingine litakavyotupwa mochwari leoSawa mkuu
Wao wenyewe wanafurahi kufungwa na YangaLolote baya liwakute uto
Hawajui kituMnapoleta nyuzi zenu hizi jaribuni basi kuandik kinag ubaga, hayo ni mashindano gani, hizo timu zipo nafasi zipoi nk..
Nyuzi uchwara za namna hii, ambazo hawa members hukimbilia kuanzisha ili nao waonekane ni maarufu ni sifa za kijinga.
Sawa mtani ila wewe timu yako mbovu sana