Adrika mashariki ni kweli timu kubwa ni Simba na Tp mazembe 😂😂😂Kwanini tunaongelea hivi vitimu vidogo vidogo wakati hapa Adrika Mashariki na kati wanaume ni Simba na T.P. Mazembe tu.
Ahahahahahaha mwana wa uchawini FC bado umo tu..!! Mwana Ngada FC nakucheki..!! Mwana Mbumbumbu FC a.k.a kolo mujaarabu ntakutafuta hapa baada ya mechi..!!
Mtu wenu Feisali keshapoteaNawaombea droo tu. Mkipigwa basi mpigwe na Feisali ili akili ziwakae sawa
Nifah tafuta sports lounge kubwa ukaangalie huko..!! Nyumbani kama huna alternative electrical power source unatafuta pressure..!!Mpaka huo muda kufika sijui wenye nchi yao watakuwa wamerudisha umeme? Mambo ya kipuuzi sana yanaendelea…
Naweza kukosa mechi hivihivi!
Next time mkipewa kanga na chumvi msituchagulie hao watu...😅Mpaka huo muda kufika sijui wenye nchi yao watakuwa wamerudisha umeme? Mambo ya kipuuzi sana yanaendelea…
Naweza kukosa mechi hivihivi!
Mi mwanamke ujue? Kwenda sehemu hizo peke yangu siwezi. It’s either home au ofisini na mara chache uwanjani ndiko huangalizia mpira.Nifah tafuta sports lounge kubwa ukaangalie huko..!! Nyumbani kama huna alternative electrical power source unatafuta pressure..!!
Mfyuuu 😖!
Usihofu Bashite kesharudi mambo ya kukatika umeme hayapo tena.Mpaka huo muda kufika sijui wenye nchi yao watakuwa wamerudisha umeme? Mambo ya kipuuzi sana yanaendelea…
Naweza kukosa mechi hivihivi!