Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam hamna timu hapo hiyo ipo waziTimu imecheza michezo zaidi ya saba mpaka sasa na siku zote Yanga kadri dakika zinavyozidi kwenda ndivyo wanakuwa hatari zaidi kutaka jambo lao lakini mtu anakwambia Yanga inakata moto. Sawa mchambuzi je baada ya kukata moto, Azam kaondoka na point ngapi leo?
Hata ratiba hamfuatilii, huyo bingwa utakutana nae tarehe 5 ya mwezi wa 11.Tunakutana na wahanga wetu..vyura fc kama sikosei
Kuwa kileleni kwa tako nyingi zaidi ya mwenzio haina chanapaNdio basi tena, michepuko mkalale mwenye mke wake kaja.
Back to the top!
Sema kwa nguvu hatujasikiaKama ni hivyo basi Man of the match apewe Azizi Ki
Kuwa kileleni kwa tako nyingi zaidi ya mwenzio haina chanapa
Timu iko timamu both physically na kisaikolojia.Timu imecheza michezo zaidi ya saba mpaka sasa na siku zote Yanga kadri dakika zinavyozidi kwenda ndivyo wanakuwa hatari zaidi kutaka jambo lao lakini mtu anakwambia Yanga inakata moto. Sawa mchambuzi je baada ya kukata moto, Azam kaondoka na point ngapi leo?
Bingwa wa matopeni...any way sawa jirani mkando upo pale pale...Hata ratiba hamfuatilii, huyo bingwa utakutana nae tarehe 5 ya mwezi wa 11.
Oya we jamaa mambo vp mkuu.Full time, yanga 1 - azam 3, nipo nmekaa palee, sijawah tabiri vibaya
Watu tushatia nanga kwenye uzi wake kitambo sanaTWENDENI KWA MUHASIBU
Kama wewe ulivyokiwa teja kwa azam , subil ukutane nao wakupige nje ndaniSimba itawabamiza mnoo msimu huuu...mshakua wateja wazuri mnaachia tuu... [emoji3] [emoji3][emoji3][emoji3]
Kachanganyikiwa na makabati ya debit na credit[emoji16]TWENDENI KWA MUHASIBU
Walikua wanabutuabutua tu hawana maajab yoyoteAsante dear Proved leo furaha tupu.
Hahahhahahaaha najua unajua...ila ni mpole kweli kwa real gentlemen kama nyie...We mpoleeeee mpaka unakera. Siku nikute mtu anakughasi mbona kitawaka humu? 😁
Itatokana na mganga wenu kaamkaje, maa jamaa (Mashujaa) nawao wako vizuri kwenye mambo ya ulozi.Bingwa wa matopeni...any way sawa jirani mkando upo pale pale...
Ngoja tukawafumue hao wala migebuka...