FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

Mdo wako Genta ulimuonya sasa ameyatimba maana wiki hii ameanza dalili zake ,alikuwa anafyatua nyuzi hovyo kila saa sasa sijui ana Hali gani.
Muda si mrefu nitapitisha tena bakuli ili mumchangie kwa ajili ya nauli ya kwenda kuchukua dawa. 😁
 
Wewe SASA ndio umeeleza Vizuri.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] cheka tuu ndugu yangu ndo imeshakua sasa...
Mashabiki wa Yanga wamevurugwa na wanasumbua balaaa.
Hatulali leo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…