FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

Watani wangu wapendwa sana...
Charles kilian
Tate Mkuu
Ngalikihinja
Labani og
Nawasalimia kwa jina la 4G MAJINI.
Karibuni Calabash niwanunulie kuku mfurahie ushindi wenu wa kuingia robo fainali ya kwanza baada ya miaka 75...duuhh...hii ni balaa
Wewe unaongelea robo fainali! Watu wanawaza muda huu kutengeneza tshirts kama zile za Mapinduzi cup zenye nembo ya The Champions!! Yaani gari ndiyo limeshawaka! Kituo ni fainali. 🥇🥈🏆
 
Huu ushuzi wa wp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…