FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

CCM na Tanzania vimeikuta Yanga so ilikua lazima waige vitu vizuri toka Kwa Timu kubwa
CCM ilundwa na TANU ambayo hiyo tanu iliundwa na TAA.

TAA ilianzishwa mwaka 1920

Yanga ni 1935

Unaweza kujiongeza mwenyewe hapo
 
Kila la heri Belouzdad
IMG_0081.png
 
Back
Top Bottom