Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwanja mbona bado mweupe??Imebaki dakika 14, hakuna kukimbiana
Kama nakuona ulivyo jaza vishikwambi kwenye handbag,Imebaki dakika 14, hakuna kukimbiana
Ya sasa hivi mkuu!Hiyo picha ni ya saa ngapi?
Uwanja mbona mweupe kama kwapa la kichanga?Ya sasa hivi mkuu!
Bado wanaendelea kuleta fujo.
Wanavikitu wanawarushia Mashabiki
Uto wameogopa kujaUwanja mbona mweupe kama kwapa la kichanga?
Nipo banda umiza mkuu nina wallet tu ya kunywesha wana Simba tukishinda mechiKama nakuona ulivyo jaza vishikwambi kwenye handbag,
Wahasibu bhana[emoji1787]
Timu ya wananchi tayari inahesabu kufikia kilele cha mafanikio kuingia hatua ya makundi! Kwa maono hayo ya kuku nawapa pole wanaosubiri ushindi! watasubii sana!Kila la heri Timu Ya Wananchi💛💛💚💚💛💛`
Naskia kuna tiketi za free boti zinagawiwa uwanjaniUto wameogopa kuja