Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli sina la kuongezaNilikuambia. Inabidi Simba tujipange. Kwa mpira huu na kikosi chetu nimeingiwa na uoga tukikutana tena.
Hahahaaa. Hii wiki zilikuja nyuzi nyingi sana za kutudharau.Wee mtaniii hebu tulizanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona bleach itapaukaa ghaflaaa.
Hawa waarabu wa matopeni Leo Leo baada ya mechi wataanza safari kurudi kwao.Kwa saizi siwezi kusema chochote maana mpaka sasa mahesabu yangu yamekuja ndivyo sivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mnanichekeshaa bhanaa.Huu Mpira ukiangalia ilikuwa lazima mwarabu afe we Taulo la kipa wa Yanga ni jeusi tii
Wamezingua sanaHawa waarabu wa matopeni Leo Leo baada ya mechi wataanza safari kurudi kwao.
Kwa hio hawa ndio mlitegemea wawalipie kisasi?Wamezingua sana
Profesa Pacome ZouzouaHuyo ndiyo Pacome zizouuu
Tena huenda wakaongezwa mengine mawili.Wamezingua sana
Semeni ni bahasha basiHivi hizi goal.mbona zinaingia kama uongo
Majibu unayo sasaNimuulize nini sasa?au mshachanganyikiwa kabla ya kipigo?
mod wana wivu