FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

IMG-20240218-WA0015.jpg
 
Kwa saizi siwezi kusema chochote maana mpaka sasa mahesabu yangu yamekuja ndivyo sivyo.
Hawa waarabu wa matopeni Leo Leo baada ya mechi wataanza safari kurudi kwao.
 
Yanga bado hawatapita hili kundi, mechi ijayo anapoteza kwa Ahly halafu Belouzidad wanashinda dhidi ya Medeama. Safari ya Yanga itakomea hapo
 
Back
Top Bottom