FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

Kwanini Unassma wameshafuzu wakati bado Mechi ya Mwisho Al Ahly vs Yanga na CR belauzidad na Medeama
Vipi Yanga Akifungwa na Al Ahly halafu Beloizdad akampiga Medeama?
Utofauti wa magoli waliofungana yanga na beloizdad
 
Sijaelewa kwanini wanasema Yanga Kashafuzu Robo fainali?
Sababu Bado Mechi moja na Al Ahly je Akifungwa halafu CR belouzdad akashinda dhidi ya Medeama?
 
Kwanini Unassma wameshafuzu wakati bado Mechi ya Mwisho Al Ahly vs Yanga na CR belauzidad na Medeama
Vipi Yanga Akifungwa na Al Ahly halafu Beloizdad akampiga Medeama?
Wanaangali head to head mkuu Yanga kashaenda robo mkuu
 
Wenzenu wanacheza mpira uwanjani, nyinyi siku zote mnapenda kucheza mdomoni! Haya mseme sasa!
Nawe sio kwasababu umebahatisha hapa ukaanza kupiga domo kisa tu kuwafunga viwete unafikiri ntakosa guts za kukujibu
 
Back
Top Bottom