Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Masjabu ndio manini hayo?Usituchukulie poa,tuna masjabu yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masjabu ndio manini hayo?Usituchukulie poa,tuna masjabu yetu.
Kwani hili ni jukwaa la ngumi?Kwani umeandika kiswahili au kiingereza?
Hili siyo darasa la lugha. Ni mwendo wa kipigo tu
Wangechezeshwa mchana ingekuajeItakua hali ya joto imezidi hawa jamaa kule kwao hali ya hewa ni baridi mlijuwe hilo wananchi.
Mpo vizuri ila Kama hamasa ni kupakana mabrinchi kichwani tufungwe tu.Hamasa na ushindi, Simba mna cha kujifunza mkiweka ujuaji pembeni.
Ndio ujuaji wenyewe huo, shauri zenu.Mmeshinda kwa kishindo ila kituambia tuna la kujifunza kutoka kwenu sahau kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Historia ya kufunga vibonde wa uarabuni?Dah!....Uto...wameweka historia aisee.....hatuna cha kuwatambia tena.
Hongera kwao..
Sahivi mnawakataa waarabu,, wakati lilikua ndo chaka lenu la kutambiaHistoria ya kufunga vibonde wa uarabuni?
Sina baya kaka,hongereni[emoji16][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kaka kwema [emoji1787][emoji16][emoji16][emoji23]
Mkuu, imagine hayo majini yakawavusha robo fainali tutasema nini?Historia ya kufunga vibonde wa uarabuni?
Kocha anataka kuzipiga na mchezaji wake. Very funny.Mkuu umeangalia mpira wa leo?
Unajua hadi kocha alitaka kupigana?
Usituchukulie poa,tuna masjabu yetu.
Hahahahah naomba ulinzi jamani. Kafungwa CRB alafu wanaumia SIMBA wa MulasimbaKwani hili ni jukwaa la ngumi?
Acheni sifa basi hii dunia tunapitaNdio ujuaji wenyewe huo, shauri zenu.
Dishi halijayumba[emoji1787][emoji1787][emoji23]Popoma GENTAMYCINE sijui atakuja na porojo gani tena! Maana asubuhi baada ya dishi kuyumba, alianzisha nyuzi kama 5 hivi za kuiponda tu Yanga na wachezaji wake.
Inatisha na umetishika hadi ukatema yai la chura 🤣🤣🤣Hello, i am from Bangladesh, i don't your language lakini hii Yanga inatisha asee.
Umeongea ukiwa na uchungu sana. Mkuu bora uzae tu ndio salama yakoBelouizdad akimfunga Medeama 4 bila kisha Al Ahly akamfunga Yanga 4 bila anaenda robo fainali Ahly na Belouizdad.
Kwahiyo sio lazima Belouizdad amfunge Medeama 6 bali hata ahly akimfunga Yanga 5 kisha Belouizdad akashinda 3 Yanga safari inaishia hapa.
Kwenye mpira lolote linawezekana kama ilivyowezekana kwa kibonde Yanga kumfunga Belouizdad.
Nilikuwa UwanjaniMkuu umeangalia mpira wa leo?
Unajua hadi kocha alitaka kupigana?
Usituchukulie poa,tuna masjabu yetu.
Usitiee mkuu siyo kwa mpira huu hkn wa kutuzuiaSitii neno
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli hata kupigwa tano tano back to back Simba ni muasisi
SureUfalme wa waarabu kwenye soka la Afrika unaenda kupotea.