Sisi mwaka jana tuliwapiga sita, kama point ni ubora au ubovu basi ihefu nayo ni timu bora sana, au unasemaje hapoKuna watu wanataka kusema Polisi TZ wabovu. Ila wakikumbuka kitu wanaishiaa kukaa kimya
Mambo mtaniAcha kukurupuka hebu soma tena
SawaHapana kaka naongea tuu...
Limbukeni wewe....5 mlikula na 6 mlikula yani nyie mashabiki wengine mnaifanya Yanga ionekane kama timu ya kijiwe nongwa...Polisi nae kaona wivu inakuaje 5imba apigwe 5G na yeye nani asionje utamu wa 5G
Wewe kitulize naona tano bado zinakuwasha. Unavyozidi kusema ndio zitaendelea kuwasha zaidiKitu gani? Polisi hao ndo mnakenua kweli? Mnajiita timu kubwa halafu mnakenua kwa polisi nyie mmeona wamecheza kweli au wanakimbia kimbia tuu humo uwanjani... 😆 😆 ...hapa hata majini hamjatumia walai
Umempasua za uso,,Polisi nae kaona wivu inakuaje 5imba apigwe 5G na yeye nani asionje utamu wa 5G
Hizo goli sita tutalipa siku si nyingi.Limbukeni wewe....5 mlikula na 6 mlikula yani nyie mashabiki wengine mnaifanya Yanga ionekane kama timu ya kijiwe nongwa...
Nyie musemeni tu Max lakini tukikutana atawafunga ya kutosha.Hata Max mlisema ni Mbappe wa Tanzania.
Mmoja ni KOLO mwingine mpiga GwaridePolisi na Simba wana tofauti gani?
Mnatuchosha na hizo 5 timu inayojinasibu kubwa ambayo haitumii nguvu za ziada haiwezi imba goli 5 mwaka mzima mnakuwa washamba au ni majini kweli yalitumika mpk leo hamuamini....kitu ambacho mnyama alikua anawala tuu vitimu kama hivyo msimu uliopita...Huu ni mpila tu ndugu zangu wa 5G, makasiriko hayatakiwi
Tulivyowapiga 5G mlikuwa mnacheza au mnakimbia uwanjani?Kitu gani? Polisi hao ndo mnakenua kweli? Mnajiita timu kubwa halafu mnakenua kwa polisi nyie mmeona wamecheza kweli au wanakimbia kimbia tuu humo uwanjani... 😆 😆 ...hapa hata majini hamjatumia walai
Ndio sababu ya kumuacha?Okra hadi abostiwe ndio akimbie
MalimbukeniiiiiiWewe kitulize naona tano bado zinakuwasha. Unavyozidi kusema ndio zitaendelea kuwasha zaidi
Safi mtani vipi uko bienMambo mtani
Toka mpigwe 5 mme kua na wivu sana hamtaki na wenzenu wachapwe vitanoYani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
Mkuu kunywa maji mengi, makasiriko ya nini? Mpira ni furaha na we hauelewi maana ya utani wa jadi?Mnatuchosha na hizo 5 timu inayojinasibu kubwa ambayo haitumii nguvu za ziada haiwezi imba goli 5 mwaka mzima mnakuwa washamba au ni majini kweli yalitumika mpk leo hamuamini....kitu ambacho mnyama alikua anawala tuu vitimu kama hivyo msimu uliopita...
Kumbe tano bado zinawauma hivi? Tutaendelea kuwakeraaaaaaMnatuchosha na hizo 5 timu inayojinasibu kubwa ambayo haitumii nguvu za ziada haiwezi imba goli 5 mwaka mzima mnakuwa washamba au ni majini kweli yalitumika mpk leo hamuamini....kitu ambacho mnyama alikua anawala tuu vitimu kama hivyo msimu uliopita...