Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
[emoji16][emoji16]Leo ilikuwa zamu yangu kuanzisha uzi huu lakini kabla sijatoka kazini wewe umeshauanzisha, je wewe hufanyi kazi? Sasa sis wengine tutaanzisha lini kama mnatuwahi kila gemu? Tuoneeni huruma sisi wanyonge kusudi nasi tupate angalau nafasi moja ya kuanzisha uzi.
Anza kuvua mapemaYanga akishinda navua nguo
Red ya NBC inahusika vp na CAFCLYao Kwasi asikosekana pale nyuma
Shedrak Bocca asikosekana Wazee
Baka asikosekana ingawa kapigwa red
Kocha aambiwe mapema bila hivyo vifaa uwanjani tutaaibika uwanjani nawaambia bila hivyo vifaa Yanga inafungwa kilaini tu
Gamond kasingiziwa
Yaan bila safu ya mabeki Yanga ni mwepesi mno ukiua safu ya mabeki waliobaki wote mdebwedo hakuna cha Mudathiri hakuna cha Pacome Aziz Ki Nzengeli wala Dube hawarudi nyuma kuja kukaba goli lisifungwe wanakaa mbele tu golini hakuna wa kuzuia
Ndio nimesema safu ya mabeki itimieRed ya NBC inahusika vp na CAFCL
Anza kulegeza mkanda wa bikiniYanga akishinda navua nguo
Kwani unaoga na nguo...? Utazivua tu Yanga ishinde isishindeYanga akishinda navua nguo
mh!Mi ni Yanga ila hii mechi hatutoboiii
kwani huvuagi πYanga akishinda navua nguo
Ubaya Ubwela ina ushirikina gani?Kauli mbiu imekaa kishirikina kuliko ile ya Ubaya Ubwela?
Makolo ni makolo tu