BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Yah kweli angalia marudio mara kwnza alivaa shati jeupe akanyanyua mikono juuKweli!?
Mno yaniπ€£π€£π€£Magoma apewe timu yake sasa π
Kama huna fitness hata ukiwekea mpira kwenye penalt box lunaweza kosa. Azizi kii umeona mashuti yake? Dhaifu? Linganisha na azizi ki wa msimu uliopita?Huyu kocha Anaongea fitness, kwani Yanga hawana fitness.
Nafasi za kufunga unapata nyingi, huingii ndani, fitness inatoka wapi hapa.
Muhimu tutasonga mbele.
Timu mbovuKwahiyo mnaotazama tatizo nini? Mpango wa kikosi/Kocha(mbinu) au wachezaji?
Kwamba mimi ndio mzimu mkuu ?πhii shughuli lazima iingiliwe na mizimu sasa!
KabisaMagoli kama ya Tabora
Situmii bando natumia unlimitedMimi ni simba na simba huwa ni King of the jungle π€π€ ebu gugo hapo ππππ au hauna bando mkuuπ π π
Ni miyeyusho sana haoIfike muda sasa Diarra apumzishwe. Hee mnamchezesha mtoto wa watu, kama Bot!!!
Kwaherini, ngoja nipumzike kwanza. Maana nitawachamba hao kina Azizi K waone kwanza.
πππππ acha izo mrudi wapi mkiwa na nguvu?ππππHapa nafuta machozi siamini kilichotokea kwa mkapa. Tutarudi tukiwa na nguvu moja. Daima mbele Mwiko nyuma π
Bora wewe mimi naishi free tu situmii chochote kabisaπππππππSitumii bando natumia unlimited
πππBora wewe mimi naishi free tu situmii chochote kabisaπππππππ