FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

P

Point 3 za kishindo kabisa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ ilikua inaelekea 5G as usual tumewaonea huruma๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
Nilikua nacheki hapa mtangazaji anasema for the first time they get three points

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ana maana gani
 
Maelezo meengi rubbish tu nmeweka page ya CAF hayo matapu tapu unayatoa wapi?
 
yanga ifike mahali wawe na huruma, wamuache konkon aende tu, manake ni mbovu kuliko wachezaji wa kitanzania wote.
 
Ai
Aisee....ila game zilizobaki ni ngumu mzeya kazi kweli kweli
 
We jamaa ,kigezo cha Goli Bora umekitoa wapi, hebu Weka hiyo kanuni ya Goli Bora
Kwa nn umeruka kipengele cha goal difference
Kumbe Simba kuna wahasibu wengi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Mkuu kwani hujui au umeuliza kama utani tu?

Goli bora baina ya hizo timu mbili zilipokutana ni kigezo pia

Soma mwenyewe hapa na kama utahitaji link ukaipauke mwenyewe kutoka kwenye site ya CAF niambie
 

Attachments

Yanga itatolewa NUSU FAINALI, Simba itatolewa ROBO FAINALI.
 
Msyuuuu...mbona unanichagulia betting yangu??
Yanga ikimfunga Simba naacha ushabiki..najua hii utaona haina impact kwenu ila kwangu kuacha kushabikia timu yangu itakua maumivu makali mnoo..nakuahidi...
Hiyo haina impact maana ushabiki ni mpaka kufa...so hiyo wala sikubaliani nayo wee njoo na kitu kingine.
Tufanye hivi yanga akimfunga simba wee rasmi unakuwa mke wangu wa jf
 
Kwa hiyo ina maana Wydad yeye alikubali kufungwa..!!๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ