FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Ngoja kwanza usiparaze paraze maneno.

Fikiria Al Ahly atoe sare na CR Belouzidad kisha mechi yenu ya mwisho na Cr Belarouzidad mshinde.

Maana yake hapo utakuwa na point 8 na game ngumu ya mwisho ambayo ni Al Ahly akiwa kwake

Wakati huo Belarouzidad ana point 5 na game simple dhidi ya Medeama tena akiwa nyumbani.

Hapo maana yake mkifungwa na Al Ahly na Cr Belarouzidad kule akishinda atakuwa na point 8 kama zako.

Hapo ndio h2h itaamua.

Nani kafungwa goli nyingi mlipokutana ndio ishu ambayo itakuwa mezani

Sasa hapa ukiangalia ishu sio ushindi tu, ishu ni ushindi wa goli ngapi.

Ukimfunga Belouzidad goli 3 (kitu ambacho ni kigumu) bado pia hapo haikupi guarantee ya kupita kuna kigezo cha goli bora.

Lakini mimi kipengele kilikuwa ni Wydad tu waliobaki wote nakanyaga tena sio tu napita bali namaliza nikiwa naongoza kundi
The future will decide...
Punguza manenooo...💛
 
Yah kwa hapa Yanga tujiambie tu ukwel kwamba bado hatujawa na clear confirmation. Ni better tukaji consider kuwa mech yetu ya maruadiano na Alahly au cr bel ndio hasa zimebena hatima yetu.

Hii yaeo well and gu but still haitupi uhakika sana. Mambo ya mpaka uombee flan afungwe ni mambo ya ramli sana na si suala ya kimchezo
Mechi ya Al Ahly na Cr Belarouzidad ndio mechi ya maamuzi kwa Cr Belarouzidad.

Akishinda hiyo mechi basi hapo utakuwa umebadilishiwa mpinzani. Mpinzani hatokuwa Cr Belarouzidad tena hapo atakuwa ni Al Ahly.

Na kama tujuavyo sidhani kama Al Ahly ataruhusu kutolewa kwenye makundi.
 
View attachment 2847959
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #CAFCL
⚽️ Young Africans SC Vs Medeama SC
📆 20.12.2023
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 4:00pm

Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Yanga!!


#DaimaMbeleNyumamwiko#

Kikosi cha Yanga kinachoanza.
View attachment 2848149


Kikosi cha Medeama Kinachoanza.
View attachment 2848213

Dakika ya 33'
Yanga wanapata goli, kupitia kwa Pacome.
Yanga 1 - 0 Medeama

Half Time:
Yanga 1 - 0 Medeama...

Dakika 61'
Yanga wanapata Goli la pili kupitia kwa Kenedy Musonda/Bakari Nondo

Yanga 2 - 0 Medeama...

Mpira unaendelea.

Dakika ya 66'
Goal kwa Yanga.
Mudathiri anafunga.

Yanga 3 - 0 Medeama

Mpira unaendelea

Dakika ya 90'
Jonathan Sowah anapata Red Card.
Baada ya kumchezea rafu Skudu.

Full Time.
Yanga 3 - 0 Medeama
Mkuu usisahau kupandisha uzi wa Al ahly huko wanapocheza
 
Yanga nafasi ya pili kwenye kundi akiwa chini ya Al Ahly (mtani wangu) wakiwa wamefungana point

Lakini mtani bado hajacheza mechi ya mzunguko wa pili kutokana na ubize wa World Cup.

Sasa kinachofanyika hapa kwa Yanga ni kuomba dua tu Cr Belarouzidad afungwe na Al Ahly ili

Ilitokea Cr Belarouzidad kamfunga Al Ahly maana yake Yanga atarudi kwenye nafasi ya 3 kama kundi lilivyaonza.

Ikitokea Cr Belarouzidad katoa sare yeyote bado vilevile Cr Belarouzidad atarudi nafasi ya pili na Yanga kushuka nafasi ya tatu.

Kwasababu Yanga na CR Belouzidad ndio wapo kwenye kinyang'anyiro cha nafasi ya pili hivyo fact ya kuamua nani akae katika nafasi hiyo ni kuangalia H2H walivyokutana.

Yanga mpaka sasa kafungwa bao 3 na CR Belouzidad hivyo nafasi ya kukaa namba mbili itaenda kwa Cr Belarouzidad.

Kwa hiyo ukiangalia kwa makini utaona Yanga yupo kwenye siti ambayo tayari ina mtu ila huyo mtu katoka kwenda msalani mara moja.

View attachment 2848285
Lini utapata akili wewe? H2H ni criteria ya nne ujuaji mwingi akili kisoda
IMG_20231220_183437.jpg
 
Ngoja kwanza usiparaze paraze maneno.

Fikiria Al Ahly atoe sare na CR Belouzidad kisha mechi yenu ya mwisho na Cr Belarouzidad mshinde.

Maana yake hapo utakuwa na point 8 na game ngumu ya mwisho ambayo ni Al Ahly akiwa kwake

Wakati huo Belarouzidad ana point 5 na game simple dhidi ya Medeama tena akiwa nyumbani.

Hapo maana yake mkifungwa na Al Ahly na Cr Belarouzidad kule akishinda atakuwa na point 8 kama zako.

Hapo ndio h2h itaamua.

Nani kafungwa goli nyingi mlipokutana ndio ishu ambayo itakuwa mezani

Sasa hapa ukiangalia ishu sio ushindi tu, ishu ni ushindi wa goli ngapi.

Ukimfunga Belouzidad goli 3 (kitu ambacho ni kigumu) bado pia hapo haikupi guarantee ya kupita kuna kigezo cha goli bora.

Lakini mimi kipengele kilikuwa ni Wydad tu waliobaki wote nakanyaga tena sio tu napita bali namaliza nikiwa naongoza kundi
Wewe naona umeanza Yale ya Ahmed Ally kua mtampiga Galaxy nje ndani...

Kama Yanga ana nafasi ngumu ya kufuzu basi Simba atakua Hana nafasi kabisa hata ya kusubiri kipengele cha magoli maana Nina uhakika Asec lazima awafunge...

Ina maana sehemu pekee ambayo walau mnaweza kuokoteza point ni Kwa Galaxy lakini Naye pia Katika rekodi zake alishawapasua Kwa mkapa hivo atakuja akiwa kifua mbele sio kinyonge lakini Yanga akimpiga CR B Goli tatu Maisha yatakua matamu tu
 
The future will decide...
Punguza manenooo...💛
Tunaweza kupima yanayoweza kujiri baadaye kupitia dalili zilioonekana leo.

Simba hana mechi ngumu mechi ngumu ilikuwa ya jana.

Wakati Yanga mechi rahisi ndio ilikuwa ya leo

Japo ni kweli matokeo ya mpira yanaweza kushangaza watu ila haizuii kufanya makadirio kupitia statistics.

Ndio maana hata kampuni za kubeti zinatumia vigezo hivyo.
 
Tunaweza kupima yanayoweza kujiri baadaye kupitia dalili zilioonekana leo.

Simba hana mechi ngumu mechi ngumu ilikuwa ya jana.

Wakati Yanga mechi rahisi ndio ilikuwa ya leo

Japo ni kweli matokeo ya mpira yanaweza kushangaza watu ila haizuii kufanya makadirio kupitia statistics.

Ndio maana hata kampuni za kubeti zinatumia vigezo hivyo.
Kuweni na Akiba.
 
Ngoja kwanza usiparaze paraze maneno.

Fikiria Al Ahly atoe sare na CR Belouzidad kisha mechi yenu ya mwisho na Cr Belarouzidad mshinde.

Maana yake hapo utakuwa na point 8 na game ngumu ya mwisho ambayo ni Al Ahly akiwa kwake

Wakati huo Belarouzidad ana point 5 na game simple dhidi ya Medeama tena akiwa nyumbani.

Hapo maana yake mkifungwa na Al Ahly na Cr Belarouzidad kule akishinda atakuwa na point 8 kama zako.

Hapo ndio h2h itaamua.

Nani kafungwa goli nyingi mlipokutana ndio ishu ambayo itakuwa mezani

Sasa hapa ukiangalia ishu sio ushindi tu, ishu ni ushindi wa goli ngapi.

Ukimfunga Belouzidad goli 3 (kitu ambacho ni kigumu) bado pia hapo haikupi guarantee ya kupita kuna kigezo cha goli bora.

Lakini mimi kipengele kilikuwa ni Wydad tu waliobaki wote nakanyaga tena sio tu napita bali namaliza nikiwa naongoza kundi
Acha kujieleza sana kaka
 
Cha ajabu kuna wengine wameumia zaidi ya Mediama. 🤣
Mi sijaumia

Ningeumia kama mngevuka makundi

Ila ishu ya kushinda na kushika nafasi ya pili tena nafasi ya pili kwa temporary wala hainishtui.

Huko tunakokwenda ndio tutaona nani atayefurahi.
 
Back
Top Bottom