Na huu ni upumbavu wa watanzania wengi, wanashabikia Ile vita wakati inatuathiri mno sisi,ukimuuliza kisa cha chapati kupanda bei hajui ila kajaa ushabiki wa kivitajamaa mmoja kabla ya urusi kuvamia ukraie nlimuuliza unajua madhara ya vita? akafoka kweli waache kumchukulia putin kiboya, nkamuuliza tena unajua madhara ya vita lakini? wakipigana kule umejipanga?
- ni kama aliniona sina akili maaana alidhan hayawezi kumfikia, saaahv naona amepaki tu gari yake inaenda route za muhimu tu
For sure
Anaandika ramzan kadyrov
" In 15 minutes, we'll see who the "great power" is: the US or China.
We don't talk about ourselves"View attachment 2312020
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi nitawaona Ni mafaller sana.[emoji2][emoji2] wakikubali mpaka anatua hadi anaondoka itakuwa dharau kubwa sana kwa China
Duniani kuna Nuclear Warheads 13,080 na nchi ni nyingi ambazo zina nuclearNahs dunia inahitaj vita ya 3 ili watu waheshimiane
Kwa hio watanzania wasingeshangilia Vita ndio isingepiganwa sio?Na huu ni upumbavu wa watanzania wengi, wanashabikia Ile vita wakati inatuathiri mno sisi,ukimuuliza kisa cha chapati kupanda bei hajui ila kajaa ushabiki wa kivita
Acha tuone ikifutika tu mkuu,watakaosikitikia Hilo Ni wale wakuu wa mikoa walioteuliwa jana.Duniani kuna Nuclear Warheads 13,080 na nchi ni nyingi ambazo zina nuclear
Sasa kila mmoja akituma yake hakuna atakaebaki
Wanasema viumbe wote hadi mimea tutakufa isipokuwa Mende tu
Kumbe ulikuwa unanichora? 🤔 🥲View attachment 2312060
Ndio maana ya super power
Pamoja mkuu[emoji4][emoji106]Umecheka nini mkuu? Haya kuwa na simu njema.
Doomsday labda yaja.Duniani kuna Nuclear Warheads 13,080 na nchi ni nyingi ambazo zina nuclear
Sasa kila mmoja akituma yake hakuna atakaebaki
Wanasema viumbe wote hadi mimea tutakufa isipokuwa Mende tu
Kabisa mkuu,[emoji2][emoji2] wakikubali mpaka anatua hadi anaondoka itakuwa dharau kubwa sana kwa China
Hi meridian bet hawajaweka huu mkeka nikabet?Karata yangu ipo kwa mchina
Kaka mchina hawezi mzingua marekani, ugali wa mchina unatoka US. Sasa chagua ardhi au chakula.
Kwann mende chief[emoji4]Duniani kuna Nuclear Warheads 13,080 na nchi ni nyingi ambazo zina nuclear
Sasa kila mmoja akituma yake hakuna atakaebaki
Wanasema viumbe wote hadi mimea tutakufa isipokuwa Mende tu