Timu mbovu ziko shirikisho ungekuwa Bora ungecheza klabu bingwa kwenye timu Bora,,Al hilal wako klabu bingwa wewe upo shirikisho sijui timu Bora ni ipi hapo!Taratibu akili zitawakaa tu vizuri, naubovu wote wa simba miaka ya hivi karibuni haijawahi kupoteza game ya kimataifa dhidi ya ibenge na timu mbovu mbovu kama al hilal,: naona sasa hamtoi zile ahadi za simba akishinda upigwe ban kwani wakubwa wamekuwa wakiwatendea haki baada ya game. Ipo siku kila mtu ataishabikia simba.
Umenikumbusha Danielmwasi na kinge chake sijui kapotelea wapi utoplus😂Mtani mambo vipi?
How do you feel the pain?
sorry for my poor English
Hao Al hilal wanaoishi ukimbizini ndio unawazungumzia? Hujihisi aibu?Timu mbovu ziko shirikisho ungekuwa Bora ungecheza klabu bingwa kwenye timu Bora,,Al hilal wako klabu bingwa wewe upo shirikisho sijui timu Bora ni ipi hapo!
Kombe la kina mama hilo hata halina mzuka kabisaMatch Day
Simba SC vs Bravos do Maquis FC
Time 1600hrs
View attachment 3162770
Kikosi Cha Simba Kinachoanza.
View attachment 3163283
#Nguvumoja
Wanaoishi ukimbizini wako klabu bingwa vipi wewe uliye salama nyumbani kwako mbona uko shirikisho? Na ukapata nafasi ya viti maalum kushiriki mashindano ni nani Bora?Hao Al hilal wanaoishi ukimbizini ndio unawazungumzia? Hujihisi aibu?
Huyu ni mwanamke au mwanaumeKila la heri kwa Mnyama Mkubwa mwituni🦁🦁🦁
Piga 3-0 hao Bravo turudishe heshima ya nchi iliyochafuliwa na wahuni UtopoloView attachment 3162625
Hao sio wanufaika wa TASAF dogo so leo ndo utajua wana lunyasi hawakukurupuka katika kusajiri .Makolo wakandwe tu...hakuna namna[emoji23][emoji23]
Mi nna mkeka wangu tu hivyo vingine sihusiki navyoTaratibu akili zitawakaa tu vizuri, naubovu wote wa simba miaka ya hivi karibuni haijawahi kupoteza game ya kimataifa dhidi ya ibenge na timu mbovu mbovu kama al hilal,: naona sasa hamtoi zile ahadi za simba akishinda upigwe ban kwani wakubwa wamekuwa wakiwatendea haki baada ya game. Ipo siku kila mtu ataishabikia simba.
Average team hiiKila timu mnaiita vibonde
Au sioVibonde walikandwa jana.
Ndio timu pekee iliyofungwa nyumbani kwake hapo jana.
Aibuu jamani!!
Cookie twende live kabla hujalewa.Match Day
Simba SC vs Bravos do Maquis FC
Time 1600hrs
View attachment 3162770
Kikosi Cha Simba Kinachoanza.
View attachment 3163283
#Nguvumoja
jozeee vipi poleAu sio
Kukaa kwenye tv kuangalia mashindano ya walioshindwa ni matumizi mabaya ya muda
Sema Simba ikifungwa utapita uchi tukuchoreTaratibu akili zitawakaa tu vizuri, naubovu wote wa simba miaka ya hivi karibuni haijawahi kupoteza game ya kimataifa dhidi ya ibenge na timu mbovu mbovu kama al hilal,: naona sasa hamtoi zile ahadi za simba akishinda upigwe ban kwani wakubwa wamekuwa wakiwatendea haki baada ya game. Ipo siku kila mtu ataishabikia simba.