Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mbiiiinde saaaana
Bado ule uzembe wa tukishinda wachezaji wanaridhiki na morali wa kupambana hupotea.Tuongee ule ukweli leo kamara katubeba
Ila si tumeshinda? Kuna Amphibia jana kachezea kichapoYn tumeshinda kwa mbinde, timu inashindwa kutumia nafasi vzr. Inabid kocha afanye kaz kubwa sn.
Nashukuru mkuuUpdates za Kibabe...! Kudos bro
Ulitaka ampange nani?Huyu mbwa kocha wa simba atakuja kujuta kupanga timu hovyo hovyo
Ni bonge moja la timu huko Angola Simba anaenda kufa vibaya hii timu inacheza sio mchezo kuna wapuuzi watasemaje wamedungwa Sindano hahahaSimba hatashinda Angola,wajipange.Hii timu si mbovu kama wanavyofikiria
Muhimu alama tatu kwanzaKwa mbiiiinde saaaana
ibia na wewe toboMmeona marudio? Kipa hakusimama kwenye mstari wakati penalty inapigwa, kaibia.
Ateba sio wa kuingia kwa kuchelewa..sioni faida yoyote ya mukwala kama mshambuliajiYn tumeshinda kwa mbinde, timu inashindwa kutumia nafasi vzr. Inabid kocha afanye kaz kubwa sn.
chiembe ampange namba 10 pale mbele arukeruke hahaha km Ateba na BaluaUlitaka ampange nani?
Mmetoboa kimazabe,,umakini mdogo wa bravos ndio umewapa ushindi vinginevyo ukikutana na timu inayojielewa unagongwa vizuri tu,,angalia mipira inayopigwa katikati ya mabeki wenu inavyowapa shida,nawapa tu kidogo vitu vya kiufundi kama mnaufahamu Mpira vizuri!
Tofauti na matarajio ya wengi (ikiwemo mimi) FC Bravos wamejitahidi kupunguza makali ya Simba, walicheza kwa nidhamu kuwaheshimu Simba, baadhi ya wachezaji wa Simba wameshindwa kutumia Nafasi walizopataumeionaje Mechi ya leo mkuu kwa uchache?
Yan Shele Auwa ndio nani ile penati alikua anakosa bahati yake leo angeshushiwa rungu la lawamaAteba sio wa kuingia kwa kuchelewa..sioni faida yoyote ya mukwala kama mshambuliaji
Na sioni kama anajua "Chemistry" ya wachezaji wake. Na anampenda Fabrice Ngoma lakini Ngoma kwa sasa si mchezaji wa kutegemea.Kabisa, kocha ana kazi kubwa ya kufanya.....
Nafasi zipi wakati mipira yao yote ilikua inakufakufa tu haiendi popoteTofauti na matarajio ya wengi (ikiwemo mimi) FC Bravos wamejitahidi kupunguza makali ya Simba, walicheza kwa nidhamu kuwaheshimu Simba, baadhi ya wachezaji wa Simba wameshindwa kutumia Nafasi walizopata
Pumbavu kweli , mnashindwa kueleza ama kujadili maudhaifu yenu ya kufungwa goli 2 na uongoz wenu , mnapoteza muda na simba, mamaeh endeleeni mkija kushtuka ligi zimeisha na hakuna la maaana mlichofanya...Zaidi ya goli la penalty akuna cha maana mlichofanya,,licha ya kukutana na Majimaji ya Angola bado mmeonyesha udhaifu mkubwa,,tutakuja kuwaeleza udhaifu wenu siku nyingine adui usimwonyeshe siraha atakudhuru!
Mukwala leo kazingua sn, huyo mutale ss mh. Mechi angeanza atebaAteba sio wa kuingia kwa kuchelewa..sioni faida yoyote ya mukwala kama mshambuliaji