Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wanakula za Horoya 😄 😄Naskia Dodoma waliahidiwa kila mchezaji milioni 5 na yule kada wa yanga Waziri mbunge wa dodoma..
Wachezaji wakaambizana Sasa Hawa sababu wameahidiwa milioni 5 , tuwapige hizo hizo 5..
Mmeanza lini kutojivunia!? Leo au!?Kombe la kina mama aliitwi kimataifa.
Kule Kombe la Kina Mama tulibutua timu zote, hakuna timu tuli iacha.
Na sisi hatujivunii hatua tuliyoifikia kwenye kombe lile.
Mimi ni shabiki wa simba! Ila sina imani na hii timu ya Dodoma Jiji. Huenda imepewa bahasha ili tushinde goli nyingi na hivyo kuondoa ile aibu ya kususia mechi na watani wetu Yanga.
Sizitaki mbichi hizi.Kombe la kina mama aliitwi kimataifa.
Kule Kombe la Kina Mama tulibutua timu zote, hakuna timu tuli iacha.
Na sisi hatujivunii hatua tuliyoifikia kwenye kombe lile.
Kombe la kina mama ukashindwa kulichukuaKombe la kina mama aliitwi kimataifa.
Kule Kombe la Kina Mama tulibutua timu zote, hakuna timu tuli iacha.
Na sisi hatujivunii hatua tuliyoifikia kwenye kombe lile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tumemaliza pakti na kufungua nyingine,shoga alivyonikwepa ulimuona mjinga ukajipendekeza wewe.sasa nasemajee utanibeba leo
Kunywa maji mengi na upumzike, yakizidi sana muone Daktariiii.Mimi ni shabiki wa simba! Ila sina imani na hii timu ya Dodoma Jiji. Huenda imepewa bahasha ili tushinde goli nyingi na hivyo kuondoa ile aibu ya kususia mechi na watani wetu Yanga.
pakti ya pili kwishaaa!